bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Huwa majamaa wanafananaYule Payet ananikumbusha Anderson wetu man utd jamaa mtamu sana
aiseeeAcha dhambi ya ubaguzi wewe!
Wote hao ni wafaransa!
Pia inaonyesha umeishia darasa la tatu ukaanza biashara ya bodaboda ama kuuza maji prematurely ndo maana unauliza majibu, ungefika la-nne ungejua ASSIMILATION POLICY ya wafaransa na usingeleta huu UKETO hapa!
Jisomee MEMKWA!
wewe jidanganye hakuna Ubaguzi sababu timu ya Taifa imejaa weusi, na rafiki mzaliwa wa Ufaransa mweusi wazazi ni West Africa ananiambia ni kunaubaguzi hatari sana na anasema Ufaransa wazungu wengi wanapenda Rugby hii soka imependwa sababu ya 98 worldcup ila sport yao kubwa ni Rugby. ila Ubaguzi kila dunia Naweza kusema Tanzania tuna Wahindi wengi labda sababu hawajichanganyi ila nao kama wanavipaji wawepo timu ya taifa stars.Ufaransa hakunaga ubaguzi.Assimilation policy
Ni vyema ukamjibu vizuri kwani jamaa ameuliza tu, mbona hata Uingereza kuna mechi Chelsea ilijaza wageni watupu bila mzawa hata mmoja watu wakahoji na magazeti ya kaandika. Unafikiri walikuwa hawajui policy ya usajili au nao waliishia la tatu kama unavyodai!? Unataka kutuaminisha umesoma kisa unaijua hiyo Assimilation policy?Acha dhambi ya ubaguzi wewe!
Wote hao ni wafaransa!
Pia inaonyesha umeishia darasa la tatu ukaanza biashara ya bodaboda ama kuuza maji prematurely ndo maana unauliza majibu, ungefika la-nne ungejua ASSIMILATION POLICY ya wafaransa na usingeleta huu UKETO hapa!
Jisomee MEMKWA!
Unayo hoja mkuu.nimetafakari sana leo baada ya kuangalia lineup ya timu ya ufaransa na robo tatu ya wachezaji ni weusi tiii ,sasa nimejiuliza sana hivi hiyo nchi hakuna wazungu kabisa maana nina hakika jambo kama hilo kamwe haliwezi kutokea Afrika kwa timu nzima kuwa wazungu tupu .Nimejiuliza tu mimi siyo baguzi jeusi
asante mkuu kwa kunitetea Mungu akuongezee burasa wewe na kizazi chakoNi vyema ukamjibu vizuri kwani jamaa ameuliza tu, mbona hata Uingereza kuna mechi Chelsea ilijaza wageni watupu bila mzawa hata mmoja watu wakahoji na magazeti ya kaandika. Unafikiri walikuwa hawajui policy ya usajili au nao waliishia la tatu kama unavyodai!? Unataka kutuaminisha umesoma kisa unaijua hiyo Assimilation policy?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13]Africa mna fedha za kuwa nunua hao wachezaji ?
Acha dhambi ya ubaguzi wewe!
Wote hao ni wafaransa!
Pia inaonyesha umeishia darasa la tatu ukaanza biashara ya bodaboda ama kuuza maji prematurely ndo maana unauliza majibu, ungefika la-nne ungejua ASSIMILATION POLICY ya wafaransa na usingeleta huu UKETO hapa!
Jisomee MEMKWA!
nimetafakari sana leo baada ya kuangalia lineup ya timu ya ufaransa na robo tatu ya wachezaji ni weusi tiii ,sasa nimejiuliza sana hivi hiyo nchi hakuna wazungu kabisa maana nina hakika jambo kama hilo kamwe haliwezi kutokea Afrika kwa timu nzima kuwa wazungu tupu .Nimejiuliza tu mimi siyo baguzi jeusi
du mkuu umeuwa kila kitu.kula tano kiongoziSyllabus ya Tanzania haionyeshi mwanafunzi wa class 4 kufundishwa administrative system kwahiyo umechemka.
Admins system kama
1:Assimilation Policy
2πirect rule
3:Indirect rule
4:Apatheid policy ya Boers
Hizi zote ufundishwa class 7,
eti "Jaji Mfawidhi" ovyooo
Labda kasoma shule za hawayuu,okee,thankyu,yunoo.Syllabus ya Tanzania haionyeshi mwanafunzi wa class 4 kufundishwa administrative system kwahiyo umechemka.
Admins system kama
1:Assimilation Policy
2πirect rule
3:Indirect rule
4:Apatheid policy ya Boers
Hizi zote ufundishwa class 7,
eti "Jaji Mfawidhi" ovyooo