hivi Uganda, Rwanda, Ethiopia, Kenya na Sudan kusini zinajiandaa kupigana na Misri?

hivi Uganda, Rwanda, Ethiopia, Kenya na Sudan kusini zinajiandaa kupigana na Misri?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
nimesoma uzi mmoja humu unaelezea kwamba nchi hizi ziumeungana katika ulinzi, yaani ukivamia mmoja umevamia wote. wengi wamechangia kwamba ni mbinu ya kagame kutaka kuvamia tanzania lakini mimi nina swali najiuliza. ukiangalia kwa makini nchi zote hizi ziko katika bonde la mto nile na zina hamu kubwa ya kutumia maji ya mto nile. hasa kenya ambayo inataka kufanya irrigation kutoka ziwa victoria na ethiopia ambayo inakabiliwa na njaa na inataka kufanya irrigation huku ikijenga hydrodam kubwa kabisa africa. rwanda, uganda na sudan kusini zina hamu kubwa ya kutumia mto huo. misri wako tayari na mgogoro na ethiopia kuhusu ujenzi wa bwawa hilo na rais morsi alisema hata sita kwenda vitani. pia tukumbuke kuwa nchi zote hizi tano zinakinyongo na misri kuhusu maji ya nile na pia inatabiriwa kuwa huko tuuendako vita nyingi vita zitapiganwa kugombea maji. swali ni je hawa watano wana adui gani in common hadi wamuundie alliance?, je nchi hizi inajiandaa kupigana na misri ambaye ni africa supepower?
 
nimesoma uzi mmoja humu unaelezea kwamba nchi hizi ziumeungana katika ulinzi, yaani ukivamia mmoja umevamia wote. wengi wamechangia kwamba ni mbinu ya kagame kutaka kuvamia tanzania lakini mimi nina swali najiuliza. ukiangalia kwa makini nchi zote hizi ziko katika bondxe la mto naili na zina hamu kubwa ya kutumia maji ya mto naili. hasa kenya ambayo inataka kufanya irrigation kuoka ziwa victoria na ethiopia ambayo inakabiliwa na njaa na inataka kufanya irrigation huku ikijenga hydrodam kubwa kabisa africa. rwanda, uganda na sudan kusini zina hamu kubwa ya kutumia mto huo. misri wako tayari na mgogoro na erthiopia kuhusu ujenzi wa bwawa hilo na rais morsi alisema hata sita kwenda vitani. pia tukumbuke kuwa nchi zote hizi tano zinakinyongo na misri kuhusu maji ya nile na pia inatabiuriwa kuwa huko tuuendako vita nyingi vita nyingi zitapiganwa kugombea maji. swali ni je hawa watano wana adui gani in common hadi wamuundie allience?, je nchi hizi inajiandaa kupigana na misri ambaye ni africa supepower?
mimi nakuunga mkono mara miliooni tisa, mkuu mkuu baba maqumazan!! Ila nakupinga kuwa uwezo wa misri kivita utawakomoa hao Alliance.1967 Israeli ilitaka kutujengea mfereji wa irrigation kutoka Ziwa victoria mpaka Dodoma lakini Nyerere alikataa kwa madai kuwa Misri itakausha vyanzo vyake vya irrigation.

Hao maraisi watano wanajua nini maana ya kujitoshereza kwa kilimo. Mto Nile unawapa faida Misri zaidi ya nchi zote africa mashariki na kati. Israeli, na mataifa yote ya Ulaya na sauth africa ipo nyuma yao kuwasaidia alliance. . Na kama vita itapiganwa tuu, basi huo utakuwa mwanzo mzuri kwa africa ya watu weusi kuunda umoja wao kama vile ilivyo The Arab League.

kwa Africa kuwa na nchi za kiarabu ktk AU hakuna maana kabisaaa.
 
israel walikuwa wanataka wamisri wawauzie maji ya mto nile baada ya mto jordan kutowatosha na sasa anatyegemea maji ya desalination. nafikiri safari hii anaweza muunga mkono mmisri ili nae aje afaaidike na maji. maana wa africa mashariki wakiaanza kuyatumia inamaana ndoto yake ya kununua maji ya nile itakuwa imekufa. maji na ardhi ni vitu vya thamani sana ni watanzania tu tuna vichezea in all the world!. imefurahi un ampata mac umazahn wa the kings solomon's mines LOL.
 
mimi nakuunga mkono mara miliooni tisa, mkuu mkuu baba maqumazan!! Ila nakupinga kuwa uwezo wa misri kivita utawakomoa hao Alliance.1967 Israeli ilitaka kutujengea mfereji wa irrigation kutoka Ziwa victoria mpaka Dodoma lakini Nyerere alikataa kwa madai kuwa Misri itakausha vyanzo vyake vya irrigation.

Hao maraisi watano wanajua nini maana ya kujitoshereza kwa kilimo. Mto Nile unawapa faida Misri zaidi ya nchi zote africa mashariki na kati. Israeli, na mataifa yote ya Ulaya na sauth africa ipo nyuma yao kuwasaidia alliance. . Na kama vita itapiganwa tuu, basi huo utakuwa mwanzo mzuri kwa africa ya watu weusi kuunda umoja wao kama vile ilivyo The Arab League.

kwa Africa kuwa na nchi za kiarabu ktk AU hakuna maana kabisaaa.
israel walikuwa wanataka wamisri wawauzie maji ya mto nile baada ya mto jordan kutowatosha na sasa anatyegemea maji ya desalination. nafikiri safari hii anaweza muunga mkono mmisri ili nae aje afaaidike na maji. maana wa africa mashariki wakiaanza kuyatumia inamaana ndoto yake ya kununua maji ya nile itakuwa imekufa. maji na ardhi ni vitu vya thamani sana ni watanzania tu tuna vichezea in all the world!. imefurahi un ampata mac umazahn wa the kings solomon's mines LOL.
 
kuna watu wanasema hii ni janja ya kagame kuivamia tanzania. ila ninavyojua watu huwa hawafanyi jambo bila faida, je nchi hizi zitafaidika nini zikiivamia tanzania?. sidhani kama wanaWEZA kuvamia na kupora ardhi huku UN ikiangalia.
 
Misri eti Africa Superpower? Hao hata Tanzania peke yake hawaiwezi, waarabu maneno na kuapiana tu, kama ni silaha wao pia wananunua hawatengenezi.
 
Mto Nile ni potentIAl tangia kitambo kwa Mashariki ya kati na Afraka Mashariki. Nyerere hakuruhusu wa Israeli watujengee mfereji hadi Dodoma maana alijua kabisa kitendo hicho kingeiingiza Tanzania katika migogoro ambayo tusingeiweza kuitatua kidiplomasia zaidi ya kuingia vitani tu. Na amini anakwambia mkuu itafikia kipindi vita itapiganwa kisa ziwa Victoria na mifereji yake ya maji eg River Canal
 
Swali
Kwa nini katika huo Muungano TZ haimo na hali ndo yenye eneo kubwa la ziwa Nyanza?
Je, Tz leo hii ikaamua kufanya miradi kadhaa ya kuyatumia hayo maji, je hizo nchi zitaamua kuivamia tz?
 
hizo nchi atazikiungana hawatuwezi ata kama watapigana na Egypt hawaiwezi let them unites.
 
israel walikuwa wanataka wamisri wawauzie maji ya mto nile baada ya mto jordan kutowatosha na sasa anatyegemea maji ya desalination. nafikiri safari hii anaweza muunga mkono mmisri ili nae aje afaaidike na maji. maana wa africa mashariki wakiaanza kuyatumia inamaana ndoto yake ya kununua maji ya nile itakuwa imekufa. maji na ardhi ni vitu vya thamani sana ni watanzania tu tuna vichezea in all the world!. imefurahi un ampata mac umazahn wa the kings solomon's mines LOL.


Mkuu unaweza kunieleza uhusiano uliopo kati ya Misri, Israel na USA, nimewahi kusikia kua katika utawala wa misri tokea kwa Gamar Nasri haijawai tokea kwenye Cabinet akakosa mtu mwenye asiri ya Israel na Misri ni nchi ya pili dunia kusaidiwa na USA baada ya Israel.
 
naunga mkono hoja,wakat Museven anautubia bunge la Ugand mwezi wa 7 aliongelea hii kitu,alisema Misri wanakataa lakin wao watayatumia kuzalisha umeme na umwagiliaji,aiwezekani wakatalie maji kwa mikataba iliyowekwa na wakoloni ata Waziri mkuu wa Ethiopia niliwai kumsikia akiongelea ili
 
Hata sisi Tz mbona tunajisevia tu maji hayo kupitia Ziwa Victoria/Nyanza/Lweru? Ni maji hayo yaliyopelekwa Kahama kwa mfereji, na bado yataenda mbali zaidi. Hatuwezi kuacha kuyatumia kisa eti Misri wanayataka wao. Kha! Yule mama wa Malawi naye anakuwa kama wamisri!
 
Maziwa yana mambo mara ziwa Nyasa, Mara ziwa Victoria,mara mto kagera n.k isije kuwa janja ya kagame kuivamia Tanzania.
 
nimesoma uzi mmoja humu unaelezea kwamba nchi hizi ziumeungana katika ulinzi, yaani ukivamia mmoja umevamia wote. wengi wamechangia kwamba ni mbinu ya kagame kutaka kuvamia tanzania lakini mimi nina swali najiuliza. ukiangalia kwa makini nchi zote hizi ziko katika bonde la mto nile na zina hamu kubwa ya kutumia maji ya mto nile. hasa kenya ambayo inataka kufanya irrigation kutoka ziwa victoria na ethiopia ambayo inakabiliwa na njaa na inataka kufanya irrigation huku ikijenga hydrodam kubwa kabisa africa. rwanda, uganda na sudan kusini zina hamu kubwa ya kutumia mto huo. misri wako tayari na mgogoro na ethiopia kuhusu ujenzi wa bwawa hilo na rais morsi alisema hata sita kwenda vitani. pia tukumbuke kuwa nchi zote hizi tano zinakinyongo na misri kuhusu maji ya nile na pia inatabiriwa kuwa huko tuuendako vita nyingi vita zitapiganwa kugombea maji. swali ni je hawa watano wana adui gani in common hadi wamuundie alliance?, je nchi hizi inajiandaa kupigana na misri ambaye ni africa supepower?

Unaongelea hii thread ?
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=476329
 
Hata sisi Tz mbona tunajisevia tu maji hayo kupitia Ziwa Victoria/Nyanza/Lweru? Ni maji hayo yaliyopelekwa Kahama kwa mfereji, na bado yataenda mbali zaidi. Hatuwezi kuacha kuyatumia kisa eti Misri wanayataka wao. Kha! Yule mama wa Malawi naye anakuwa kama wamisri!
hayo maji kidogo tuliyochukua tulipigwa mkwara mzito sana. hata hivyo maji tunayotumia ni kidogo sana wamisri na wasudana peke yao wanatumia zaidi ya asilimia 90 ya maji. jamaa wa misri wanamsemo kwamba tone moja la mtu nile likipotea mbadala wake ni damu yao, hivyo hawako tayari kupoteza hata tone moja.
 
hayo maji kidogo tuliyochukua tulipigwa mkwara mzito sana. hata hivyo maji tunayotumia ni kidogo sana wamisri na wasudana peke yao wanatumia zaidi ya asilimia 90 ya maji. jamaa wa misri wanamsemo kwamba tone moja la mtu nile likipotea mbadala wake ni damu yao, hivyo hawako tayari kupoteza hata tone moja.

Sisi Tz tumeshatumia zaidi ya tone moja la maji hayo, na mbona hawajamwaga damu ya watu wa huku kwetu? Badala yake wanamwaga damu yao Wamisri wenyewe kwa wenyewe kwa manufaa ya Marekani na Israel. Lazima tuendelee kuyatumia maji hayo kama wao kwani sote tumepewa na Mungu. WAMISRI WASITUBABAISHE, WAACHE UBINAFSI, TUTAENDELEA KUYATUMIA KAMA WAO WANAVYOYATUMIA.
 
Sisi Tz tumeshatumia zaidi ya tone moja la maji hayo, na mbona hawajamwaga damu ya watu wa huku kwetu? Badala yake wanamwaga damu yao Wamisri wenyewe kwa wenyewe kwa manufaa ya Marekani na Israel. Lazima tuendelee kuyatumia maji hayo kama wao kwani sote tumepewa na Mungu. WAMISRI WASITUBABAISHE, WAACHE UBINAFSI, TUTAENDELEA KUYATUMIA KAMA WAO WANAVYOYATUMIA.

mimi wenyewe naunga mkono, maji ni yetu sote na tunatakiwa kutumia sawasawa. lakini ikipigwa vita itakuwa kali sana maana wamisri watakuwa wanapigana kufa na kupona maana nile ndio uhai wa wamisri zaidi ya millioni 80.
 
nimesoma uzi mmoja humu unaelezea kwamba nchi hizi ziumeungana katika ulinzi, yaani ukivamia mmoja umevamia wote. wengi wamechangia kwamba ni mbinu ya kagame kutaka kuvamia tanzania lakini mimi nina swali najiuliza. ukiangalia kwa makini nchi zote hizi ziko katika bonde la mto nile na zina hamu kubwa ya kutumia maji ya mto nile. hasa kenya ambayo inataka kufanya irrigation kutoka ziwa victoria na ethiopia ambayo inakabiliwa na njaa na inataka kufanya irrigation huku ikijenga hydrodam kubwa kabisa africa. rwanda, uganda na sudan kusini zina hamu kubwa ya kutumia mto huo. misri wako tayari na mgogoro na ethiopia kuhusu ujenzi wa bwawa hilo na rais morsi alisema hata sita kwenda vitani. pia tukumbuke kuwa nchi zote hizi tano zinakinyongo na misri kuhusu maji ya nile na pia inatabiriwa kuwa huko tuuendako vita nyingi vita zitapiganwa kugombea maji. swali ni je hawa watano wana adui gani in common hadi wamuundie alliance?, je nchi hizi inajiandaa kupigana na misri ambaye ni africa supepower?

Kenya imepata maji mengi chini ya ardhi katika eneo kame kabisa ya Turkana
 
Back
Top Bottom