Hivi uhuru ni nini?

Hivi uhuru ni nini?

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Wanajukwaa naomba kufahamu juu ya uhuru wa mtu au wakitu. Uhuru ni nini maana kuna watu tunashindwa kuelewena kati ya kijana aliyejiajiri na kijana aliyeajiliwa .

📌 unaweza ukawa unaingiza kiwango kikubwa cha pesa kutoka kwa kazi yako ila hauko na uhuru... sawa unapata hela ila hiyo hela Hata uifaidi hata kidogo.

Nina ushuhuda wa kaka yangu ambaye alikuwa mlinzi na alikuwa analipwa mshahara sio chini ya 300k kwa mwezi ila ameamua kuacha kazi na kujiajiri kwa siku anaingiza 20k kwa biashara yake ya kuuza mtumba. Lakini kuna siku hali inakuwa tete hauzi hata nguo moja lakini ukijiajiri mvua yako jua lako kwa faida yako.

Leo hii amejenga. Sema safi endelea kupambana kula mshahara kumbuka mkipata mshahara jenga au nunua kiwanja kazi iko na kikomo ila biashara.
Mfanyabiashara ataendelea kuiongoza dunia iko hivo tafuta hela.

Lengo sio uache kazi nop jiongeze kazi ina mwisho.
Asante.
 
Kuusu uhuru nini nikama hivi ulivyokaa ukaamua kuandika kuuliza hivi uhuru nini kama kichwa Cha habari

Lakini maelezo ya swala lako hili sio swali tena yanaongelea maswala yanayo husu utwa kwenye ajira

Ila tu tambua sio kila ajira nimbaya tunaishi kwenye dunia iliyoenendelea zaidi Karne ambayo kujifaamu wewe ninani nijambo lamsingi zaidi kuliko kufanya tu chochote kinachowezekana kufanyika

Swala linalohusu utumwa kwa upande wa kazi kama ajira sio utumwa kwa wanadamu wote japo wengine niutumwa kiukweli kwakua wanafanya shuhuli wasizozipenda wanajilazimisha wengine wanafanya kwa mapenzi hata kama kipato nikidogo hawajali wanafanya kwa mapenzi mazito kwakua hiyo shuhuli anayifanya ndio ilikua ndoto ya maisha yake kufanya hiyo kazi

That why unakuta kuna watu wameajiriwa ofisi moja mishaara inafanana lakini mmoja wao unakuta anamaendeleo makubwa sana wengine hawana chochote wanaamini kupitia chocho wizi ndio utawafanikishia

Tofauti hiyo maranyingi husababishwa na mambo kama hayo unafanya kazi ambayo huipendi hata ukipata malipo yake unakuwa huna tayari muunganiko nayo hivyo nakushauri jitafute

Sio wote tunapaswa kuwa wafanyabiashara wanunuzi watakuwa akinanani??

Kunawalioumbwa ili wauze kunawalioumbwa ili wanunue haijalishi hali ya maisha iko vipi chamsingi niujijue wewe ninani unachofanya ufanye kwa furaha icho ndio kutakuwa niwewe

Mfano ulioutoa ni sahii kabisa huyo nduguyo kuacha kazi nakuamua kufanya kazi ambayo hapati kipato Kila siku lakini maendeleo anayaona hajali mvua wala jua inamaana anafanya kazi anayoimani zaidi hatujaumbwa wote kuwa hivyo

Wengine wanaishi kwa kupitia vipaji mf: mpira ila haviwalipi sawa wengine ni matajiri wakubwa wengine wakati wengine wanasogeza maisha tu japo wote wanapenda mpira

Kwenye muziki na filamu ni hivyo pia sasa swala la ajira kutokua na malipo mazuri sio ishu sana ishu ya msingi ni je unafanya unachokipenda??

Mafanikio yatakuja yakiwango chako ulichopangiwa na MUNGU endapo utafanya unachokipenda VIJANA TUACHE MATAMAA TUJITAFUTE
 
Kuusu uhuru nini nikama hivi ulivyokaa ukaamua kuandika kuuliza hivi uhuru nini kama kichwa Cha habari

Lakini maelezo ya swala lako hili sio swali tena yanaongelea maswala yanayo husu utwa kwenye ajira

Ila tu tambua sio kila ajira nimbaya tunaishi kwenye dunia iliyoenendelea zaidi Karne ambayo kujifaamu wewe ninani nijambo lamsingi zaidi kuliko kufanya tu chochote kinachowezekana kufanyika
🙏 umefunguka.. shukhuran
 
Back
Top Bottom