figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
kwa msiojua sinza ni sehemu ya "wakuja" mjanja hawezi kaa sinza hata siku moja!!!
Wapi dar hapajai maji mvua ikinyesha?umeongea ukweli.wakuja ndo wanazimikia.kwanza sinza kero,kama unaenda asubuhi mjini Rabda ukageze na gari mwenge vinginevyo utakoma.sinza mvua ikinyesha barabara zote zinajaa maji.vibaka wanaokaba kwa mtogore,ali maua na kijitonyama wanatoka sinza.nyie kaeni sinza sisi tutakuwa tunakuja kuwamegea na kurudi makwetu.
ila hii post hapa si mahali pake, me sioni chochote kuhusu urafiki wala mahusiano labda ungeipeleka jukwaa la habari mchanganyiko
Sinza kuna sehemu pana Guest House kama tatu zimepangana hizo Guest House zinafuatiwa na nyumba moja ambayo mwenye nyumba imebidi aandike getini kuwa "Hii ni nyunba binafsi siyo Guest House"
Tukiwa na vijana wenye upeo huu ni hasara kubwa kwa Taifa. hawa ndio wanawavalishaga majoho watoto wa nursery school kwamba wamegraduet.
Sinza kuna sehemu pana Guest House kama tatu zimepangana hizo Guest House zinafuatiwa na nyumba moja ambayo mwenye nyumba imebidi aandike getini kuwa "Hii ni nyunba binafsi siyo Guest House"
sio makosa yako mkuu..mi naomba tu ujiamini kwamba na wewe pale ulipoishia form 4..uligraduate ndo mana mliandika pale juu 'MAHAFALI YA KIDATO CHA 4' au 'FORM FOUR GRADUATION CEREMONY'
wewe nawe acha kupanda daladala, mwanamke iko nafiga nzuri njoo kwangu nikununulie vitz.umeongea ukweli.wakuja ndo wanazimikia.kwanza sinza kero,kama unaenda asubuhi mjini Rabda ukageze na gari mwenge .
Post za kipuuzi hizi, unaposema vijana wengi magraduet wanakwenda kupanga sinza, kwahiyo unamaanisha wale ambao hawajapata elimu ya juu sio vijana. wewe ni mvivu wa kufikiri. edit upya thread yako ili uilete jamvini. pesa ndio mpango mzima na sio kugraduet.
Bongo Dar es salaam, sinza ya leo kila ya baada ya nyumba bar na zote zinajaa na hapo ndipo utakaposhangaa na watu wanamagari mpaka ya millioni 200 wakati kwa mbongo wa kawaida baiskeli tu kitendawili.SINZA SINZA SINZA, tupatungie wimbo sinza
uwa naamini watu wa mipango miji wangependekeza sinza isiwe sehemu ya makazi ya watu!
Look
kutoka kwa kakobe mpaka mori kuna guest house zaidi ya kumi!
Lapaloma, pr, blue bird, bumbire, land mark, rufita, mori, jolly, opposite na kwa mae, !!!!!
Baa/pub zaidi ya ishirini (kwenye same stretch):-
kabla ya kiti moto, kiti moto, baada ya kiti moto, kabla ya sungu chini, sungu chini, kwa afande, meeda, meeda-b, njia panda ya bumbire, frame * 3, kwa mae, rufita, mori, e.t.c!
pale B.bar unakesha ukiangalia mpira wa uefa labda.mbona hamna kitu pale.eti sinza kuna bar,9t club.sijaon bado.bar zenyewe chafu,nzi kibao,viti vya plastic tena vya promotion ya cocacola,kili,safari au pepsi.b.bar yenyewe moshi wa kitimoto bar nzima.9t club ipi?ambiance au?haina hat sehemu ya kuchezea.ukiingia kidogo tu unatokwa jasho.niache kdog
Wapi dar hapajai maji mvua ikinyesha?
napata bia + k/moto B.BAR nacheki *102# mfukoni km linasoma 0.00 naenda kijiweni nacheka na atm. nadroo z kutosha naenda kona bar nang'oa wa ukwe e! 2naenda kulala ...... yaani sinza!! paache paitwe cnza.