Hivi ujanja wa sinza ni upi hasa

Na ujanja mwingine ni kuwa huduma ya baa sinza ipo indoor,
huna haja ya kwenda mbali,
ukitoka tu nje ya nyumbani kwako mlango unaokutana nao ni baa/pub!!!!!

Uzuri wa Sinza ukiona bia zimepanda bei unahama bar na hutembei umbali mrefu kama wamembatisha 100 we unahama
 
Kudaa diidaaaa kimbiza huyooo.
 
Nipeni vyeti vyenu saa hiiii, nikitoka safari ntawaamua niko buze kidogo.😛lane:
 

Acha kupadis cnza mkuu utaumia! huko bilz malaya bei gali mana ht malaya w kw mfuga mbwa akishafika posta anajidai matawi!! sinza buku tano yako 2 unang'oa tena ile mida mida y saa11 asubuhi unajibebea goma lako buure bila kutoa ht mia ....... jamani sinza! mkoa crudi tena.
 
jamani,hapo ndo nimekupamba na maua,mie mkurya ndo nimemaliza hapo. lakini nimekupa na suluhisho jamani! afu huku hata kama kodi huna,unahudumia ng'ombe za mwenye nyumba au unamuoa bintiye kabisaa unamaliza tatizo sugu!

sorry ya aina gani hii mbona unaendelea kunikwaza.
 
asante mpendwa.
safety last naomba unisamehe kwa moyo wa dhatii!

<img src="http://profile.ak.fbcdn.net/hprofile-ak-snc4/71139_117310695006173_6528686_q.jpg" border="0" alt="" /></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><img src="http://hot255.com/cloudsfm/wp-content/uploads/2011/05/CIMG4946.jpg" border="0" alt="" />
</p>
<p>&nbsp;</p>
 

sun cirro!
 
he hiv huko sinza ni wap au ndo kwa obama!mbona mnakusifia hvy..he hi hatar kwa kijana wa taifa la leo.,takwim zinasema asilimia 90 ya wakazi wa sinza ni wa kuja kwan hufuata mkumbo ni hayo tu.
 
Sinza,aargh! Ovyo kabisaa,poor drainage,nyumba nyingi vyoo vimejaa jaribu kutembelea ndugu au jamaa kipindi cha masika,nyumba nyingi ni kuukuu with little modifications to meet rising demands
 
halafu mie wabongo wananiudhi sana eti magraduate wengi, kuna graduate tanznia.....kwani wanaoishi Sinza wote wamesoma Tumaini? Fweza ndo inaifanya sinza iitwe kwa wajanja...

Mkuu hapo kwenye RED sana tuuu! nikiwa bongo sinza ndio home! maeneo ya Lion hotel! nimekulia Abuja "Mnyama" a.k.a abajalo ... timu iliyotoa wachezaji maarufu ligi yetu! tumehamia sinza 1986 enzi hizo ni mashamba ya mpunga!

SINZA NI YA WAJANJA NA ITABAKI HIVO... SIKU ZOTE!! NYIE MNAO DISS SINZA WOTE WAKUJA ..
 
Sinza,aargh! Ovyo kabisaa,poor drainage,nyumba nyingi vyoo vimejaa jaribu kutembelea ndugu au jamaa kipindi cha masika,nyumba nyingi ni kuukuu with little modifications to meet rising demands

Aaaah ww 2take radhi wapi bongo hii mvua ikinyesha huoni kinyec kikielea .......labda masaki! na masaki penyewe cna uhakika.
 
yaani wameweka kituo cha ukimwi kingine pale sinza mori, kona baa mpya imeanzishwa
 
Ukienda Masaki,k'nyama,mikocheni,au mbezi,95% ya nyumba zote ni watu wanaofanya kazi serekalini, na wenye nafasi ya kufanya ufisadi,au kwenye mashirika makubwa km bandari,TRA,TANESCO, Makampuni makubwa km TCC,TBL,BARRIC na kwenye taasisi za fedha km BoT,.Ukiona mjengo wa ukweli tegemea kuambiwa aaah,huyu jamaa yupo ama TRA,BP,BoT,TCC,TBL,au serekalini..sinza 90%imejengwa na wafanyabiashara, wa k'koo,tandale,mwananyamala,na kwingineko ndo maana inaitwa ya wajanja, hakuna ufisadi,ni upambnaji tu.
 
sio makosa yako mkuu..mi naomba tu ujiamini kwamba na wewe pale ulipoishia form 4..uligraduate ndo mana mliandika pale juu 'MAHAFALI YA KIDATO CHA 4' au 'FORM FOUR GRADUATION CEREMONY'

well said broda sina cha kuongeza
 
Mbona unanipandisha sana elimu, mimi sikufanikiwa kupata elimu ya secondary school.

we nafikiri ulimaanisha ambaye hajahitimu hata darasa la saba, na pesa ipo anawekwa kundi gani? Au nae ka graduate elimu ya mtaani elimu dunia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…