Hivi ukifanyiwa CHUMA ULETE, utagundua

Hivi ukifanyiwa CHUMA ULETE, utagundua

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!!
Nimekuwa najiuliza binafsi maswali kadha ya kadha juu ya chuma ulete,mara nyingine nakosa jibu.Ila nina imani kuna watu katika jukwaa hili watanifungua baadhi ya mambo dhidi ya chuma ulete.

Binafsi siamini sana juu ya chuma ulete ila nadhani ipo kwasababu watu wanalizungumzia.

Ningependa kupata majibu dhidi ya maswala haya ninayo jiuliza kwasababu uwenda nafanyiwa chuma ulete ila sifahamu.

Je,unapochukuliwa pesa zako kwa njia ya chuma ulete utafahamu?au unaona kawaida tu..

Na ili kufahamu kama unafanyiwa chuma ulete utaganyaje?

Wanatumia njia zipi kufanya chuma ulete?

Na utajikinga vip na chuma ulete?
 
Kama mambo yako ufanyi bila taarifa za daftari mfano biashara,mauzo,matumizi na n.k nalo ni chuma ulete.

kama ujiwekei bajeti na kiwango nalo ni chuma ulete.

kama unatunza pesa kwenye mikono ya watu watu wengi usipopeleka benk nalo ni chuma ulete.
 
aisee
Kama mambo yako ufanyi bila taarifa za daftari mfano biashara,mauzo,matumizi na n.k nalo ni chuma ulete.

kama ujiwekei bajeti na kiwango nalo ni chuma ulete.

kama unatunza pesa kwenye mikono ya watu watu wengi usipopeleka benk nalo ni chuma ulete.
 
Back
Top Bottom