Hivi Ukifumaniwa na mke au mume wa mtu, unashitakiwa kwa kosa gani?

Hivi Ukifumaniwa na mke au mume wa mtu, unashitakiwa kwa kosa gani?

fredito13

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2012
Posts
213
Reaction score
146
Wanajamvi,

Naomba mwongozo hapa. Nimesoma mara kadhaa kwenye magazeti na mitandao ya kijamii kuwa watu wamefumaniwa na wamepelekwa polisi kwa ajili ya kufunguliwa mashtaka. Naomba niulize maswali yafuatayo;

1. nafunguliwa mashtaka kwa kosa lipi, wizi, unyang'anyi, udhalilishaji au ubakaji?
2. Sheria gani hua inatumika kutoa hukumu kwa mtu aliyefumaniwa na mke/mume wa mwenzake?

3. Kesi za namna hii huwekwa kwenye kundi lipi? Ni kesi ya jinai, madai au mauaji na zinginezo?

Msaada kwa waelewa wa mambo!

#MasaiWaKinyakyusa .

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Makosa ni mengi kati ya hayo..
1-Kutanua...au umechepuka ukatoka njia kuu.
2-Michepuko siyo dili.
3-Uzembe wa kupindukia kwanini msiende mbali mwenyewe asiwezefumania!
 
Hivi kweli nikimfumania mtu na mke wangu niende kushitaki?
 
hakuna kesi.zaidi polis wanawashauri kwenda serikali za mitaa kufanya mapatano.
 
Kesi hizi zisipelekwe police hii ndo maana haziishi hapa aliyefumaniwa akabidhiwe kwa mwenye mali na police wasiingilie kati waache imalizwe na aliyeibiwa.
 
Uarabuni mwanamke anauliwa kwa mawe kwa kosa la uasherati ila mwanaume anaachiliwa kwa sababu alishikwa na tamaa ya mwili na mfedheheko hivyo ni jukumu la mwanamke kukataa kutongozwa na kama akikubali basi anaishia kuuliwa na mawe.
 
hakuna kesi.zaidi polis wanawashauri kwenda serikali za mitaa kufanya mapatano.

Mnaenda kufanya mapatano gani serikali ya mitaa? Kwamba unamsamehe/unamtimua mkeo? Halafu na mgoni wako je???

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
nataka nikusaidie lakini elezawanza utafumaniwa na huyo mke wa mtu mkifanya nini hasa? mkoo baa mnakunywa, mnakula kitimoto uchochoroni, mnastorisha, mnasalimiana au nini?
 
Kosa kisheria linaitwa Adultery kwa huku bara unaweza kuomba fidia mahakamani dhidi ya mgoni na kutumia kama sababu ya kuvunja ndoa ila kwa Zanzibar ni jinai sina uhakika kama bado iko ivyo...
 
Hapo wanasheria naona mnajiumauma pamoja na digrii zenu zooote!
 
Wanajamvi,

Naomba mwongozo hapa. Nimesoma mara kadhaa kwenye magazeti na mitandao ya kijamii kuwa watu wamefumaniwa na wamepelekwa polisi kwa ajili ya kufunguliwa mashtaka. Naomba niulize maswali yafuatayo;

1. nafunguliwa mashtaka kwa kosa lipi, wizi, unyang'anyi, udhalilishaji au ubakaji?
2. Sheria gani hua inatumika kutoa hukumu kwa mtu aliyefumaniwa na mke/mume wa mwenzake?

3. Kesi za namna hii huwekwa kwenye kundi lipi? Ni kesi ya jinai, madai au mauaji na zinginezo?

Msaada kwa waelewa wa mambo!

#MasaiWaKinyakyusa .

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

MAKOSA YOTE YANAYO HUSIANA NASUALA LA FUMANIZI,KUFANYA MAPENZI HADARANI YAKIFIKA POLISI JALADA LAKE LINAKUWA NAKOSA LA,
"KUFANYA VITENDO VYA UMALAyA"
==========================
HII HAI JALISHI ULIFUMANIWA ,AU UMEKUTWA UNAJIUZA,AU UNAFANYA MAPENZI HADHARANI ,KOSA LAKA LITA TAMBULIWA KAMA KUFANYA VITENDO VYA UMALAYA,
ULIFANYA VIPI LABDA NDO NA MUME WAMTU AU MKE WAMTU NA MAHAKA IKA THIBITISHA KWA KUMUULIZA MWENYE MKE /MWENYE MUME NA HATA MSHITAKIWA NA WOTE WAKA KILI,
ADHABU ZIPO YAWEZA KUWA FAINI,AU JERA MUDA KADHAA,TALAKA AU VYOTE KWA WAKATI MMOJA.
 

sio madai unapotosha mkuu hiyo ni jinai,umefanya vitendo vya umalaya tena na mume wamtu au mke wa mtu,sasa kesi yako mahakamani ikipangiwa na hakimu ambaye alisha wahi kuvunja ndoa yake kwa suala la fumanizi haswa mwanamke imekula kwako haiana cha maridhiano.
 
hakuna kesi.zaidi polis wanawashauri kwenda serikali za mitaa kufanya mapatano.

unapotosha,polisi hawa wezi kukuambieni mkafanye mapatano bila ya nyinyi wenyewe kuomba kufanya hivyo,
tena hii kesi inakuwa tamu kwelikweli hata wewe wakikupa unaiendesha maana hai hitaji elimu ya aina yoyote nikama umekamata mwizi na kithibitisho...
Maana pale vielelezo vyote vina kuwa wazi ,aliye fuma,aliyefumaniwa,aliye kuwa analiwa kifumanizi,mmiliki halali wa ile mali,ilatu usiombe mnafika mahakamani katika kujitetea mkeo akakukana huyu si mume wangu amenidhalilisha tu,kama kweli aonyeshe cheti cha ndoa ,utaiona dunia chungu .
 
Back
Top Bottom