fredito13
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 213
- 146
Wanajamvi,
Naomba mwongozo hapa. Nimesoma mara kadhaa kwenye magazeti na mitandao ya kijamii kuwa watu wamefumaniwa na wamepelekwa polisi kwa ajili ya kufunguliwa mashtaka. Naomba niulize maswali yafuatayo;
1. nafunguliwa mashtaka kwa kosa lipi, wizi, unyang'anyi, udhalilishaji au ubakaji?
2. Sheria gani hua inatumika kutoa hukumu kwa mtu aliyefumaniwa na mke/mume wa mwenzake?
3. Kesi za namna hii huwekwa kwenye kundi lipi? Ni kesi ya jinai, madai au mauaji na zinginezo?
Msaada kwa waelewa wa mambo!
#MasaiWaKinyakyusa .
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Naomba mwongozo hapa. Nimesoma mara kadhaa kwenye magazeti na mitandao ya kijamii kuwa watu wamefumaniwa na wamepelekwa polisi kwa ajili ya kufunguliwa mashtaka. Naomba niulize maswali yafuatayo;
1. nafunguliwa mashtaka kwa kosa lipi, wizi, unyang'anyi, udhalilishaji au ubakaji?
2. Sheria gani hua inatumika kutoa hukumu kwa mtu aliyefumaniwa na mke/mume wa mwenzake?
3. Kesi za namna hii huwekwa kwenye kundi lipi? Ni kesi ya jinai, madai au mauaji na zinginezo?
Msaada kwa waelewa wa mambo!
#MasaiWaKinyakyusa .
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums