Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Namdai vizuri sana na akitaka kunitapeli namtandika makofi
Hahahaaa, wanasheria sio watu wazuri hata kidogoCheng...e Anampunga Kibao Wa Serikali Na Alishasema Kwamba Mtu Wa Kumkamata Nchi Hii Yupo Ila Mtu Wa Kumfunga Hayupo
Kama yeye anajivunia sheria, mimi nitajivunia kisasi binafsi, simpeleki mahakani kamwe, nitajua cha kufanya, dhuruma sumu.Hahahaaa, wanasheria sio watu wazuri hata kidogo
Mnavyomuabudu huyo mtu kuna siku utakuja hapa kutuuliza akikuchukulia mke ufanye nini.Habari wakuu, hivi ikitokea unamkopesha mwanasheria mahiri kama Lissu na akagoma kukulipa unaweza kuhangaika kumfungulia kesi ya madai au ukubali tu yaishe?
inawezekana kumfungulia kesi..kama tu ulifuata taratibu za kisheria kumkopesha iliwemo mashahidi na kuandikishana.Habari wakuu, hivi ikitokea unamkopesha mwanasheria mahiri kama Lissu na akagoma kukulipa unaweza kuhangaika kumfungulia kesi ya madai au ukubali tu yaishe?
Huenda hujaelewa uzi huu au uzi haukuhusu.Mnavyomuabudu huyo mtu kuna siku utakuja hapa kutuuliza akikuchukulia mke ufanye nini.
Kiswahili kigumu kuandika?!Huenda huhaelewa uzi huu au uzi haukuhusu.
Kiswahili kigumu kuandika?!Huenda huhaelewa uzi huu au uzi haukuhusu.
Jaribu kumkopesha Mzee wa vijisenti tuone itakavyokua.