Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Leo tujadilini timu ya media. Timu ya Taifa ya England au maarufu kama The three lions wamefuzu na watakuwepo katika fainali za Kombe la Dunia pale Urusi mapema June 2018.
Ukiangalia Wachezaji wanaounda kikosi chao, unaweza ukasikitika kama sio kusononeka. Nyota wa timu ni Harry Kane, nakubali anajua kufunga, je akina nani wapo nyuma yake katika timu ndio habari ya kubwa.
Leo hii walinda milango wao ni wa kawaida sana, Joe Hart ametolewa kwa mkopo West Ham na anakaa benchi. Golikipa mwingine Jack Butland timu yake imeshuka daraja na hajawahi kushiriki hata Europa Ligi.
Ukija mabeki, kuna akina John Stones, Smalling ambaye wote mnajua anavyobabaika, kuna beki tegemeo wa kushoto Ashley Young, what a joke! atleast Kyle Walker ananishawishi na yule Harry Maguire wa Leicester.
Kwenye kiungo, kuna Henderson kiungo anayejua kupiga square pass, kuna akina Eric Dier, Wilshere ambaye hayupo fomu ila lazma aitwe, pia kuna Dele Alli ambaye wote ninyi ni mashahidi amekuwa na fomu ya chini sana msimu huu unaoisha kesho.
Mimi nathubutu kusema, England kwa aina ya wachezaji walionao akivuka kundi lake atakuwa amejitahidi sana! Vinginevyo nieatakie safari njema ya utalii wao ndani ya Russia.
Povu ruksa!!
Ukiangalia Wachezaji wanaounda kikosi chao, unaweza ukasikitika kama sio kusononeka. Nyota wa timu ni Harry Kane, nakubali anajua kufunga, je akina nani wapo nyuma yake katika timu ndio habari ya kubwa.
Leo hii walinda milango wao ni wa kawaida sana, Joe Hart ametolewa kwa mkopo West Ham na anakaa benchi. Golikipa mwingine Jack Butland timu yake imeshuka daraja na hajawahi kushiriki hata Europa Ligi.
Ukija mabeki, kuna akina John Stones, Smalling ambaye wote mnajua anavyobabaika, kuna beki tegemeo wa kushoto Ashley Young, what a joke! atleast Kyle Walker ananishawishi na yule Harry Maguire wa Leicester.
Kwenye kiungo, kuna Henderson kiungo anayejua kupiga square pass, kuna akina Eric Dier, Wilshere ambaye hayupo fomu ila lazma aitwe, pia kuna Dele Alli ambaye wote ninyi ni mashahidi amekuwa na fomu ya chini sana msimu huu unaoisha kesho.
Mimi nathubutu kusema, England kwa aina ya wachezaji walionao akivuka kundi lake atakuwa amejitahidi sana! Vinginevyo nieatakie safari njema ya utalii wao ndani ya Russia.
Povu ruksa!!