Mtapenda
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 1,115
- 2,063
Nilikua nikiwaza Sanaa hivi mfano nikipata mapesa mengi mnoo matumizi yake yatakua ni yepi kweli ninaweza ruka hivi vitu viwili watoto wazuri na vile vifurahishe moyo wangu...
Ama pesa inamatumizi gani kwa walio matajiri je! Inatumika kama mapambo ama kuna issue zingine wanafanyia akina (mo dewij, bakhresa , dangote na akija bilgate)
Kuna watu watasema wanafanya innovation na invasions then next!?
Hapo ndipo ninapo jiuliza kazi ya hizo pesa ni zipi!?[emoji3][emoji3]
Nipo hapa ibungu bar nagonga moja moja baridi wazo likanijia...
Ama pesa inamatumizi gani kwa walio matajiri je! Inatumika kama mapambo ama kuna issue zingine wanafanyia akina (mo dewij, bakhresa , dangote na akija bilgate)
Kuna watu watasema wanafanya innovation na invasions then next!?
Hapo ndipo ninapo jiuliza kazi ya hizo pesa ni zipi!?[emoji3][emoji3]
Nipo hapa ibungu bar nagonga moja moja baridi wazo likanijia...