Davety
Member
- Dec 14, 2018
- 76
- 70
Wanazengo mpo?
Ase hivi kuna umri ukifika unakuwa hauna yule close friend hasa kwa sisi wanaume au ni Mimi binafsi??? Kuna umri ule ambao ukiwa bado bachela hauna familia unakuwa na wana mda wote mnaiva story sana
Lakini kwanini ukishaoa na kuwa na familia tu marafiki kikawaida hupungua inabaki marafiki zako wale wa mwanzo kama watu wengine tu.
Mimi pia sina rafiki yani yule very close friend wote ni kama watu wa kawaida tu na niliamua kufanya hivo baada ya kuona marafiki wengi nilionao niwatu wakunirudisha nyuma kimaendeleo
Rafiki unamkopa pesa harudishi ukimpigia simu hapokei mipango yako inaharibika hao ni marafiki kweli?ikafika mahari nikaona niwe kivyangu vyangu.
Kwangu mm sina rafiki yule ambae wakaribu sana mpk huwa nahisi au nakosea mahari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ase hivi kuna umri ukifika unakuwa hauna yule close friend hasa kwa sisi wanaume au ni Mimi binafsi??? Kuna umri ule ambao ukiwa bado bachela hauna familia unakuwa na wana mda wote mnaiva story sana
Lakini kwanini ukishaoa na kuwa na familia tu marafiki kikawaida hupungua inabaki marafiki zako wale wa mwanzo kama watu wengine tu.
Mimi pia sina rafiki yani yule very close friend wote ni kama watu wa kawaida tu na niliamua kufanya hivo baada ya kuona marafiki wengi nilionao niwatu wakunirudisha nyuma kimaendeleo
Rafiki unamkopa pesa harudishi ukimpigia simu hapokei mipango yako inaharibika hao ni marafiki kweli?ikafika mahari nikaona niwe kivyangu vyangu.
Kwangu mm sina rafiki yule ambae wakaribu sana mpk huwa nahisi au nakosea mahari?
Sent using Jamii Forums mobile app