Hivi uliielewa Toyota FJ Cruiser? Inakuja second generation yake.

Hivi uliielewa Toyota FJ Cruiser? Inakuja second generation yake.

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
FJ Cruiser gari moja ya kibabe sana, walianza nayo tokea 2007 uko ila wakaipotezea hadi leo hawajawahi tuletea 2nd generation.
IMG_0538.jpeg

Sasa inakuja. Ingawa bado ni rummors ila picha zimeanza kuonekana uko kwa wenzetu. Kuna uwezekano tukafurahi wazee wa mandinga ya ajabu.
IMG_0539.jpeg

Baadhi ya watu wanasema itakua ni Hillux Raga wengine wanasema itakua ni affordable Fortune ila yote ni yote tukiangalia huu mlango wa pili, naona kabisa flavor za FJ.
IMG_0540.jpeg

Tutegemee engine ya 2.4L diesel turbo, V6 engine na 6 gear auto.
 
Back
Top Bottom