Hivi uliielewa Toyota FJ Cruiser? Inakuja second generation yake.

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
FJ Cruiser gari moja ya kibabe sana, walianza nayo tokea 2007 uko ila wakaipotezea hadi leo hawajawahi tuletea 2nd generation.

Sasa inakuja. Ingawa bado ni rummors ila picha zimeanza kuonekana uko kwa wenzetu. Kuna uwezekano tukafurahi wazee wa mandinga ya ajabu.

Baadhi ya watu wanasema itakua ni Hillux Raga wengine wanasema itakua ni affordable Fortune ila yote ni yote tukiangalia huu mlango wa pili, naona kabisa flavor za FJ.

Tutegemee engine ya 2.4L diesel turbo, V6 engine na 6 gear auto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…