Mungu pia ni Mwema.Usinikumbushe machungu.
Lkn nimejifunza kutunza fedha na kuinvest. Pesa ndio rafiki yangu wa ukweli
Na asipopata anaanza lawama.Kuna binadam yeye anaona kusaidiwa ni haki yake hivo hata akipata anaona Haina haja ya kushukuru.
Kaka hao ndio walimwengu ukiwajua hupati shida sema una roho nyeupe sana.Sio lazima mtu ashukuru, yaan kisa umefanikiwa kwenye interview ambayo nauli yenyewe umesaidiwa lkn unarudi huwezi hata toa salamu, hata kwa simu. Na bado unasema "ukiwa free......"
Hahahaha usipoomba unalala njaa kama masihara usiombe kusoma shule age go halafu uwe hauna mambo.Ni noma, unaomba hadi ww mwenyewe unajishtukia ila hauna jinsi
Wengine tumeishia kuwa na wana masnitch ambao tuliwabeba kwa mikono miwili...roho zetu nyeupe zinapata malipo ya maumivu kutufanya tuanze kuwa makauzu.Hugo gujamaa kwanza ni gusinitch na pia gujinga sana .
Marafiki ni watu fulani ukibahatika kuwapata watakushangaza sana na pia ni watu ambao hautatamani kuwapoteza shida uwa ni kuwapata wa aina hiyo .
Nishapata majanga Ila mwanangu mmoja alisimama na Mimi wakati kelele za wengine zikiwa nyingi alipambana mpaka nikawa huru ,hivyo Wana wapo na bado wanaishi .
Yaani mshikaji anakusaidia unatamani unavyomshukuru useme nakupenda sana mwanangu Ila unaogopa atakuhisi vibaya inaishia kusema nakubali mwamba ,yaani wewe acha
Jitahidi ummpe appreciation zake mwenyewe kwa kusikia kadri uwezavyo.Washkaji ni watu sanq wanangu tuishi vizur na marafiki. Japo wengine miyeyusho ila mkiishi vizur siku mnakuja kutoana katika maisha.!
Kuna mshkaji wangu nilimueleza shida yangu akaitikia ila akanikaushia kama miaka miwili hivi kimya
Siku from no where akaniambia tuma cv yako kijana kuna sehemu nikuchomeke
Dah mungu amuweke huyu jamaa mpaka Leo namuombea dua njema
Familia yangu yote wanamuombea dua nene.
Umeandika point moja kubwa sanaKuna mtoto nimemsomesha,nimeshuka kiuchumi kwaajili yake,kaanza kulipwa tangu yupo chuo,leo kapata kazi nzuri anaishi apartment na wazungu ananisema kwa watu kua sijielewi,nimekosea maisha..wakati sijawahi kumuomba hata Vocha..
Saikolojia ipo hivi,ukimfanyia mtu wema mkubwa Sana ambao kivyovyote hawezi kukulipa,atakulipa ubaya tu,anaogopa akiwa cool nawewe always atakua mdogo kwako,nayeye kashajipata kwanini umuone kama masikini??
EGO IS THE ENEMY..
Nilisoma kitabu kinazungumzia
Adopted children who kill their adoptive parents..
Interview watoto walioasiliwa ambao wameua wazazi walio was adopt..visa hivyo vipo vingi Sana...
Njoo uwe mwanangu ,pole kwa hao masnitch sema katika Wana kumi mwana ni mmoja ,Tisa ni masnitchWengine tumeishia kuwa na wana masnitch ambao tuliwabeba kwa mikono miwili...roho zetu nyeupe zinapata malipo ya maumivu kutufanya tuanze kuwa makauzu.
Pole sana kaka.....kama mambo yako yanaenda endelea na maisha yako usijisumbue nae...siku akijaa kwenye mfumo unampa vidonge vyake.Kuna mtoto nimemsomesha,nimeshuka kiuchumi kwaajili yake,kaanza kulipwa tangu yupo chuo,leo kapata kazi nzuri anaishi apartment na wazungu ananisema kwa watu kua sijielewi,nimekosea maisha..wakati sijawahi kumuomba hata Vocha..
Saikolojia ipo hivi,ukimfanyia mtu wema mkubwa Sana ambao kivyovyote hawezi kukulipa,atakulipa ubaya tu,anaogopa akiwa cool nawewe always atakua mdogo kwako,nayeye kashajipata kwanini umuone kama masikini??
EGO IS THE ENEMY..
Nilisoma kitabu kinazungumzia
Adopted children who kill their adoptive parents..
Interview watoto walioasiliwa ambao wameua wazazi walio was adopt..visa hivyo vipo vingi Sana...
Muda huo Sina,Mimi ukizingua huwa nasahau Hadi sura yako..Pole sana kaka.....kama mambo yako yanaenda endelea na maisha yako usijisumbue nae...siku akijaa kwenye mfumo unampa vidonge vyake.
Safi....hii nayo nzuriMuda huo Sina,Mimi ukizingua huwa nasahau Hadi sura yako..
Mkuu, hongera sana kwa kuwa na moyo mweupe kama maziwa.na amini kuwa hutakuja lala na njaa hata siku moja na ikitokea Mungu atakuwa na kusudi lake.Miaka ya zamani kdg ndo nimemaliza chuo nikapata kazi kwenye NGO moja hv. Huko nikawa naponda sana mali, yaani ilikua ni gambe na mademu tu. Mara paaa NGO ikamaliza issue zake wakafunga virago, nikabaki sina kazi na hapo nilikua nimempa mimba binti mmoja hivi na ndo ilikua mimba ya mtoto wangu wa kwanza.
Maisha yakawa magumu kinoma, kupata kazi shida, nilizunguka kinoma hadi vibalance vikaisha, home mm ndo wananitegemea kwa hio nisingeweza kuomba hela huko.
Kilichofuata sasa niliishi miezi mitano bila kazi lkn kwa kudra za washikaji, yaan leo unaomba huku, kesho kule, keshokutws unarudi kule mwanzo, ni shida tupu. Hadi yule binti anajifungua nilikopa hela ya hospital ila mshikaji alonipa akanambia nisiirudishe.
Washikaji ni zaidi ya ndugu, ishi nao vzr.
Nimekumbuka hii story sababu kuna jamaa mmoja ana familia yake naona alipitia kitu kama nlichopitia mm kuhusu kazi, nilihamia hapa nikamkuta, wote tumepanga nyumba kwenye fence mona ila ghafla jamaa asbh namuona kwake, nikirudi mchana namkuta, jion namkuta pia. Nikahisi yupo likizo, sasa miezi miwili nyuma akanifuata akanielezea changamoto zake anazopitia akaomba nimkopeshe milion kadhaa, nikamkatalia ila nikamwambia labda nikutafutie kazi.
Sasa kipindi namtafutia kazi akanicheki tena akasema anadaiwa kodi na hata msosi anasua sua kuhudumia home, mm nikasema isiwe kesi, nikamchangia 500k huku naendelea kumchekia kazi. Wiki 2 baadae jamaa akapata kazi ila sio nlokua namtafutia, akaitwa kwenye interview dodoma, akawa hana nauli, nikampa 200k akaenda na wala hakuwahi kunipa majibu kama alifanikiwa au la, ila mm sikujali.
Juzi jamaa karudi pale hata hakuja kunipa salamu kama alivyokua anakuja kulialia shida, leo nimeamka na hangover sijaenda kazini naona jamaa asbh kaleta pickup ina namba za DFPA (probably kapata kazi) anahamisha vitu. Ile natoka nikamuona ndo akapata sijui aibu eti anakuja kunisalimia mara "Bro samahani sana mambo yalikua mengi sana" mie nipo kimya tu, aliponiuzi anasema eti "nikiwa free nitakucheki tuje tuongee vzr ila interview nilifanikiwa", nikasema poa lkn akilini nikasema huyu taahira aombee asije kupata shida tena, maana hajui kuishi na watu.
Sio lazima utoe shukran, lkn kuwa na ustaarabu wa kusaidiwa na kuwa na 'honour' kwa washikaji.
Honour unayowapa washikaji wako ndio itakubeba wewe, bila honour watu watakudharau na hautosaidika hata wakukute unakula nyasi na hela wanakuwa nazo za kuhonga na kunywa gambe. Be honarable.
Veru touching, thanksMiaka ya zamani kdg ndo nimemaliza chuo nikapata kazi kwenye NGO moja hv. Huko nikawa naponda sana mali, yaani ilikua ni gambe na mademu tu. Mara paaa NGO ikamaliza issue zake wakafunga virago, nikabaki sina kazi na hapo nilikua nimempa mimba binti mmoja hivi na ndo ilikua mimba ya mtoto wangu wa kwanza.
Maisha yakawa magumu kinoma, kupata kazi shida, nilizunguka kinoma hadi vibalance vikaisha, home mm ndo wananitegemea kwa hio nisingeweza kuomba hela huko.
Kilichofuata sasa niliishi miezi mitano bila kazi lkn kwa kudra za washikaji, yaan leo unaomba huku, kesho kule, keshokutws unarudi kule mwanzo, ni shida tupu. Hadi yule binti anajifungua nilikopa hela ya hospital ila mshikaji alonipa akanambia nisiirudishe.
Washikaji ni zaidi ya ndugu, ishi nao vzr.
Nimekumbuka hii story sababu kuna jamaa mmoja ana familia yake naona alipitia kitu kama nlichopitia mm kuhusu kazi, nilihamia hapa nikamkuta, wote tumepanga nyumba kwenye fence mona ila ghafla jamaa asbh namuona kwake, nikirudi mchana namkuta, jion namkuta pia. Nikahisi yupo likizo, sasa miezi miwili nyuma akanifuata akanielezea changamoto zake anazopitia akaomba nimkopeshe milion kadhaa, nikamkatalia ila nikamwambia labda nikutafutie kazi.
Sasa kipindi namtafutia kazi akanicheki tena akasema anadaiwa kodi na hata msosi anasua sua kuhudumia home, mm nikasema isiwe kesi, nikamchangia 500k huku naendelea kumchekia kazi. Wiki 2 baadae jamaa akapata kazi ila sio nlokua namtafutia, akaitwa kwenye interview dodoma, akawa hana nauli, nikampa 200k akaenda na wala hakuwahi kunipa majibu kama alifanikiwa au la, ila mm sikujali.
Juzi jamaa karudi pale hata hakuja kunipa salamu kama alivyokua anakuja kulialia shida, leo nimeamka na hangover sijaenda kazini naona jamaa asbh kaleta pickup ina namba za DFPA (probably kapata kazi) anahamisha vitu. Ile natoka nikamuona ndo akapata sijui aibu eti anakuja kunisalimia mara "Bro samahani sana mambo yalikua mengi sana" mie nipo kimya tu, aliponiuzi anasema eti "nikiwa free nitakucheki tuje tuongee vzr ila interview nilifanikiwa", nikasema poa lkn akilini nikasema huyu taahira aombee asije kupata shida tena, maana hajui kuishi na watu.
Sio lazima utoe shukran, lkn kuwa na ustaarabu wa kusaidiwa na kuwa na 'honour' kwa washikaji.
Honour unayowapa washikaji wako ndio itakubeba wewe, bila honour watu watakudharau na hautosaidika hata wakukute unakula nyasi na hela wanakuwa nazo za kuhonga na kunywa gambe. Be honarable.
Hao shetani amewaweka wakfu ili waondoe huo mtindo wa upendo wa kupigana jerk. Hongera Kwa uelewa mpana ila usiingie Kwenye jaribio la kugoma kusaidia wahitaji wa kweli. Hapo Hola ya Mwovu itakuwa imeua ndege wawili Kwa jiwe Moja. Hopefully you get me point.Miaka ya zamani kdg ndo nimemaliza chuo nikapata kazi kwenye NGO moja hv. Huko nikawa naponda sana mali, yaani ilikua ni gambe na mademu tu. Mara paaa NGO ikamaliza issue zake wakafunga virago, nikabaki sina kazi na hapo nilikua nimempa mimba binti mmoja hivi na ndo ilikua mimba ya mtoto wangu wa kwanza.
Maisha yakawa magumu kinoma, kupata kazi shida, nilizunguka kinoma hadi vibalance vikaisha, home mm ndo wananitegemea kwa hio nisingeweza kuomba hela huko.
Kilichofuata sasa niliishi miezi mitano bila kazi lkn kwa kudra za washikaji, yaan leo unaomba huku, kesho kule, keshokutws unarudi kule mwanzo, ni shida tupu. Hadi yule binti anajifungua nilikopa hela ya hospital ila mshikaji alonipa akanambia nisiirudishe.
Washikaji ni zaidi ya ndugu, ishi nao vzr.
Nimekumbuka hii story sababu kuna jamaa mmoja ana familia yake naona alipitia kitu kama nlichopitia mm kuhusu kazi, nilihamia hapa nikamkuta, wote tumepanga nyumba kwenye fence mona ila ghafla jamaa asbh namuona kwake, nikirudi mchana namkuta, jion namkuta pia. Nikahisi yupo likizo, sasa miezi miwili nyuma akanifuata akanielezea changamoto zake anazopitia akaomba nimkopeshe milion kadhaa, nikamkatalia ila nikamwambia labda nikutafutie kazi.
Sasa kipindi namtafutia kazi akanicheki tena akasema anadaiwa kodi na hata msosi anasua sua kuhudumia home, mm nikasema isiwe kesi, nikamchangia 500k huku naendelea kumchekia kazi. Wiki 2 baadae jamaa akapata kazi ila sio nlokua namtafutia, akaitwa kwenye interview dodoma, akawa hana nauli, nikampa 200k akaenda na wala hakuwahi kunipa majibu kama alifanikiwa au la, ila mm sikujali.
Juzi jamaa karudi pale hata hakuja kunipa salamu kama alivyokua anakuja kulialia shida, leo nimeamka na hangover sijaenda kazini naona jamaa asbh kaleta pickup ina namba za DFPA (probably kapata kazi) anahamisha vitu. Ile natoka nikamuona ndo akapata sijui aibu eti anakuja kunisalimia mara "Bro samahani sana mambo yalikua mengi sana" mie nipo kimya tu, aliponiuzi anasema eti "nikiwa free nitakucheki tuje tuongee vzr ila interview nilifanikiwa", nikasema poa lkn akilini nikasema huyu taahira aombee asije kupata shida tena, maana hajui kuishi na watu.
Sio lazima utoe shukran, lkn kuwa na ustaarabu wa kusaidiwa na kuwa na 'honour' kwa washikaji.
Honour unayowapa washikaji wako ndio itakubeba wewe, bila honour watu watakudharau na hautosaidika hata wakukute unakula nyasi na hela wanakuwa nazo za kuhonga na kunywa gambe. Be honarable.