Mpwa wangu nimempiga sana Dafu akiwa chuo Hadi amemaliza Chuo Mimi nimesaidia sana Masomo yake lakini Tangu apate ajira ,,ananiona ni mtu niliefeli maisha
Mwezi uliopita alitaka aniweke ndani nilimkopa nilichelewa kumlipa Kama siku tatu eeh nusura aliweke Rumande . Nimelalamika sana..