Hivi ulitongozaje siku ile ulipotongoza kwa mara ya kwanza?

Hivi ulitongozaje siku ile ulipotongoza kwa mara ya kwanza?

kuna jamaa alikuwa bingwa wa kuandika barua za mapenzi nilimtumia huyo kwa ofa sigara mbili za Nyota, barua aliyonitungia huyo staa nilimpa mdogo wangu wa kike aipeleke kwa demu wangu mtarajiwa. Ilinichukua mieze miwili kupata majibu, hata hivyo nilikubaliwa na sasa tuna watoto wanne,first born anasubiri jina lake litoke TCU!
 
Niliandika barua na kwa sabab nilikuwa na mwandiko over kisigino nkampa best yangu mmoja akaipaste, nikamimina na mapoda ya kufa mtu, nkachora kaapicha ka love, alivoona mwandiko ulivotoka akajua kapata mtu kumbe ya kupaste, baadae aliKuja nitosa .
 
kuna jamaa alikuwa bingwa wa kuandika barua za mapenzi nilimtumia huyo kwa ofa sigara mbili za Nyota, barua aliyonitungia huyo staa nilimpa mdogo wangu wa kike aipeleke kwa demu wangu mtarajiwa. Ilinichukua mieze miwili kupata majibu, hata hivyo nilikubaliwa na sasa tuna watoto wanne,first born anasubiri jina lake litoke TCU!

kumbe baba nawe umo humu,,,nw i know kumbe mvuta fegi ndye alimaproach mamito wako ...nice work dad
 
Nilijipanga na maneno kibao lakini nilipokutana naye yote yakapotea, lakini kwa kuwa msichana alinielewa hisia zangu aliishia kucheka, nakumbuka aliniambia ”najua unanipenda lakini huna nafasi katika moyo wangu, samahani kaka” hapo ndo nikapata cha kuongea na kumshawishi mpaka akaingia kumi na nane
 
kuna jamaa alikuwa bingwa wa kuandika barua za mapenzi nilimtumia huyo kwa ofa sigara mbili za Nyota, barua aliyonitungia huyo staa nilimpa mdogo wangu wa kike aipeleke kwa demu wangu mtarajiwa. Ilinichukua mieze miwili kupata majibu, hata hivyo nilikubaliwa na sasa tuna watoto wanne,first born anasubiri jina lake litoke TCU!

kaka we mkali!nimeipenda story yako!SIPATI PICHA KIJANA WA TCU akijifanya mjanja wa watoto wa kike utakamvomtoa nishai
 
hahahahaaaaaaaaaa, hii kali, ungemuimbia embe dodo limelala mchangani lol... hongera
Nilimuambia "Samahani Irene naomba tujamiane" aise alicheka japokuwa alikuwa ananinipenda na akanifundisha kuwa "Wenzio hawasemi hivyo" nilijiona box sana ila nilikuwa sijabarehe.
 
hii imenkumbusha kisa cha jamaa wa movie ya the gods must be crazy,part one kama sikose,
jamaa alijipanga kweli kweli ila alipofika akishia kuharib mwishoe akamtell mdada ni an interesting psychological phenomena..............mdada alikufa mbavu kwa kwa jinc jamaa alivyokuwa anahangaika ila alimwelewa akampiga bonge la kiss.............mambo yakawa mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nilijipanga na maneno kibao lakini nilipokutana naye yote yakapotea, lakini kwa kuwa msichana alinielewa hisia zangu aliishia kucheka, nakumbuka aliniambia "najua unanipenda lakini huna nafasi katika moyo wangu, samahani kaka" hapo ndo nikapata cha kuongea na kumshawishi mpaka akaingia kumi na nane
 
Nilimuambia "Samahani Irene naomba tujamiane" aise alicheka japokuwa alikuwa ananinipenda na akanifundisha kuwa "Wenzio hawasemi hivyo" nilijiona box sana ila nilikuwa sijabarehe.

Jamani kaka zetu mnatuchekesha, haya ngoja sie tukae pembeni tusome stile mnazokujaga nazo ila hii kali.
 
Niliandika barua na kwa sabab nilikuwa na mwandiko over kisigino nkampa best yangu mmoja akaipaste, nikamimina na mapoda ya kufa mtu, nkachora kaapicha ka love, alivoona mwandiko ulivotoka akajua kapata mtu kumbe ya kupaste, baadae aliKuja nitosa .

we muongo kabisaa, mwandiko hauwezi kuvunja mahusiano
 
Back
Top Bottom