Hivi umewahi add rafiki facebook hasa wa jinsia ya kike na ukakutana na hili?

Hivi umewahi add rafiki facebook hasa wa jinsia ya kike na ukakutana na hili?

halfcastmangi

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
605
Reaction score
1,644
Wadau hivi umewahi add rafiki wa kike Facebook kutokana na ile friends suggestions halafu ukaja kushangaa kwenye story pale juu katika profile yako unamuona huyo rafiki kaweka story yenye viashiria vya ngono? Huwa unaendelea naye kama friend au unamtoa fasta?

Jana nime mu add dada mmoja, aisee leo naona anatikisa makalio full msisimko😂😂😂
 
Wadau hivi umewahi add rafiki wa kike Facebook kutokana na ile friends suggestions halafu ukaja kushangaa kwenye story pale juu katika profile yako unamuona huyo rafiki kaweka story yenye viashiria vya ngono? Huwa unaendelea naye kama friend au unamtoa fasta?

Jana nime mu add dada mmoja, aisee leo naona anatikisa makalio full msisimko😂😂😂
Wazito wa JF watakuja kukuambia unatumiaje Facebook wewe?

Ila kama vile wana mantiki, yaani msisimko wa makalio tu ukapagawa mpaka kukimbilia JF kuandika uzi?
 
Kila thread ni thread, cha muhimu ni kua na muunganiko wa irabu na konsonanti tu.
 
Wadau hivi umewahi add rafiki wa kike Facebook kutokana na ile friends suggestions halafu ukaja kushangaa kwenye story pale juu katika profile yako unamuona huyo rafiki kaweka story yenye viashiria vya ngono? Huwa unaendelea naye kama friend au unamtoa fasta?

Jana nime mu add dada mmoja, aisee leo naona anatikisa makalio full msisimko😂😂😂
Mengi ni madume yanatafuta hela za bure
 
Wadau hivi umewahi add rafiki wa kike Facebook kutokana na ile friends suggestions halafu ukaja kushangaa kwenye story pale juu katika profile yako unamuona huyo rafiki kaweka story yenye viashiria vya ngono? Huwa unaendelea naye kama friend au unamtoa fasta?

Jana nime mu add dada mmoja, aisee leo naona anatikisa makalio full msisimko[emoji23][emoji23][emoji23]
Umeanza kutumia simu lini?
Au umeshafikisha miaka 18?
 
Back
Top Bottom