Ina faida ya kupiga miti.Koma kwanza kutuita wanyonge
Je UN ina faida yoyote hapa duniani?
Kwenye waarabu hao hao hawaaminiani miongoni mwao kuna mamruki, mfano Saudi Arabia na marekani ni kitu kimoja wakati nchi nyingine za kiarabu kama Iran na nyinginezo hazipatani na Mmarekani. Kwa hiyo hao mamruki wanampelekea siri Mmarekani kuhusu mipango mbalimbali ya kimikakati.Basi kwanini waarabu wasiwe na organization yao na kuisaidia ili ijikwamue iliko na kujulikana?
Naona dunia ilikua afadhali kuliko uwepo wa UN sababu sehemu zenye vita haijawahi kusaidia kabisaUmewahi kuona nchi yoyote duniani UN wameingilia na nchi Ikawa na amani?
Kila walipo ni mgogoro tu na huko mashariki ya kati wao ndio wanawasha moto
Hilo ndio kosa lao,hawana umoja kabisa ni kama waafrika tuKwenye waarabu hao hao hawaaminiani miongoni mwao kuna mamruki, mfano Saudi Arabia na marekani ni kitu kimoja wakati nchi nyingine za kiarabu kama Iran na nyinginezo hazipatani na Mmarekani. Kwa hiyo hao mamruki wanampelekea siri Mmarekani kuhusu mipango mbalimbali ya kimikakati.
Ndio maana middle east ngoma inakua nzito kila kukicha ni vita tu..Hilo ndio kosa lao,hawana umoja kabisa ni kama waafrika tu
Naona dunia ilikua afadhali kuliko uwepo wa UN sababu sehemu zenye vita haijawahi kusaidia kabisa
Mwezi wa futari si ulishaisha jamani?Nimekaa nikawaza sana ila sijapata jibu mpka sasa. Israel inatambulika kimataifa,kwanini Palestina haitambuliki kimataifa?
Mpaka sasa bado sijaona faida ya UN mpaka sasa,hakuna mgogoro UN imeweza kuuthibiti kama mlezi wa dunia, kwanini isitambue Palestina kama nchi huru, iwe na jeshi lake, polisi wake, wanunue silaha zao kama Israel?
Kwanini Israel iko huru kufanya watakavyo kuliko Palestina tofauti na makubaliano ya 1947?
Hivi huwa mnaandika mkiwa Bar mnakunywa au ndio kujitoa tu ufahamu makusudi? UN haijawahi saidia sehemu zenye vita???? Mnasikitisha sana labda mmezaliwa mwezi huu au yawezekana ulikiwa jail miaka yako yote so hujui vita zinamalizwa na nani zikitokea dunianiNaona dunia ilikua afadhali kuliko uwepo wa UN sababu sehemu zenye vita haijawahi kusaidia kabisa