Hivi UN inashindwa nini kuitambua Palestina kama nchi huru?

Imemaliza vita, migogoro,kuna usawa duniani? Hebu nipe mfano
 
Basi kwanini waarabu wasiwe na organization yao na kuisaidia ili ijikwamue iliko na kujulikana?
Arab league na OIC si ziingilie kati[emoji28][emoji28][emoji28]

Je, Zanzibar ni huru?? Mbona UN hawaingilii na huhoji??

Spain vs Catalunya

Morocco vs Western Saharan

China vs Hongkong

WHERE IS UN??
 
Arab league na OIC si ziingilie kati[emoji28][emoji28][emoji28]

Je, Zanzibar ni huru?? Mbona UN hawaingilii na huhoji??

Spain vs Catalunya

Morocco vs Western Saharan

China vs Hongkong

WHERE IS UN??
Ndio maana kwangu naona UN ni kama dalali tu,hana faida yoyote ya uwepo wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…