Hivi huwa mnaandika mkiwa Bar mnakunywa au ndio kujitoa tu ufahamu makusudi? UN haijawahi saidia sehemu zenye vita???? Mnasikitisha sana labda mmezaliwa mwezi huu au yawezekana ulikiwa jail miaka yako yote so hujui vita zinamalizwa na nani zikitokea duniani