Waandike iwe wazi mtu ajue siyo kukata bila mhusika kujuaJapo wanadai hata mabenki mengine ndio hivyo hivyo.
Hii sio sawa kabisa 10% ni kubwa sana asee kwa uchumi wetu ..
Sasa SI Bora utumie visa ya mpesa?Kama ulikuwa hujui CRDB wanakukata 10% kwa kila unapolipa kwa Dola ($) kutoka account yako ya Tsh. Mfano juzi nimelipia 216$ nilikuwa na salio la Tsh. 618,591.67 mwisho nimebaki na 75,993.47.
Japo wanadai hata mabenki mengine ndio hivyo hivyo.
Hii sio sawa kabisa 10% ni kubwa sana asee kwa uchumi wetu.
View attachment 2883024
We nawe mjinga. Fungua acc ya dola ndio uwe unafanyia malipo ya dola. Tena nakushauri uende stanbic wana account inaitwa personal current acc ina card ya gold.. haina makato na ni iko poa sana kwenye online payments!Kama ulikuwa hujui CRDB wanakukata 10% kwa kila unapolipa kwa Dola ($) kutoka account yako ya Tsh. Mfano juzi nimelipia 216$ nilikuwa na salio la Tsh. 618,591.67 mwisho nimebaki na 75,993.47.
Japo wanadai hata mabenki mengine ndio hivyo hivyo.
Hii sio sawa kabisa 10% ni kubwa sana asee kwa uchumi wetu.
View attachment 2883024
Kwanini usinunue dola ndo ulipe au usilipe Kwa madafu?Kama ulikuwa hujui CRDB wanakukata 10% kwa kila unapolipa kwa Dola ($) kutoka account yako ya Tsh. Mfano juzi nimelipia 216$ nilikuwa na salio la Tsh. 618,591.67 mwisho nimebaki na 75,993.47.
Japo wanadai hata mabenki mengine ndio hivyo hivyo.
Hii sio sawa kabisa 10% ni kubwa sana asee kwa uchumi wetu.
View attachment 2883024