godfrey godizle
New Member
- Mar 31, 2017
- 1
- 0
Umesoma hadi darasa la ngapi??? Kucheza sio neno halisi.. hiyo ku inaonesha namna.... neno halisi ni cheza, jamba, oga, imba nk..Je wajua kua vitu vitamu vyote vinaanzia na neno --ku?????????
Km kuku,,,kula,,kulala,,,kuogaa,,kucheza,,,kusengenya,,n.k
Na km unavingine niongezee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji7] [emoji7]
Wenye vyeti feki waliofukuzwa mnaanza kuingia humu mmoja mmoja. Hivi wewe unajua vitenzi, viwakilishi, vivumishi, ngeli n.k au unajua neno tu?Je wajua kua vitu vitamu vyote vinaanzia na neno --ku?????????
Km kuku,,,kula,,kulala,,,kuogaa,,kucheza,,,kusengenya,,n.k
Na km unavingine niongezee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji7] [emoji7]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wenye vyeti feki waliofukuzwa mnaanza kuingia humu mmoja mmoja. Hivi wewe unajua vitenzi, viwakilishi, vivumishi, ngeli n.k au unajua neno tu?
Kwa taarifa yako hakuna neno linaloanzia na ku...
ngoja mi nipite tu maana sina utaalamu wa ngeliWenye vyeti feki waliofukuzwa mnaanza kuingia humu mmoja mmoja. Hivi wewe unajua vitenzi, viwakilishi, vivumishi, ngeli n.k au unajua neno tu?
Kwa taarifa yako hakuna neno linaloanzia na ku...
Na hata ukiviongezea kiambishi bado havikidhi vigezo vya "utamu"sio kweli hivyo vyote ni vitenzi na huongezwa kiambishi ku- ili kukidhi mahitaji ktk sentensi