hivi unakumbuka?

Ndio nakumbuka....
Kwa hiyo????
 
hii ni sawa na kujiuliza hivi ingekuwa sabuni tungekuwa tushamaliza miche mingapi?
 
Ukianza kuwa na mawazo ya kufa kufa ndio unakuwa na maswali kama haya! ulipokuwa unajirusha ulikuwa hujui kama unaongeza idadi ambayo baadaye itakutia mashakani?Utavuna ulichopanda, kwaheri!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…