DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kwa sisi watu wenye upendo ule wa ndani Kabisa
Je unawezaje Kupata Furaha huku umezingukwa na watu masikini wanaokosa mpaka kula yao ??
Binafsi Mimi Sina Furaha
Furaha ya kweli nikuzungukwa na watu wenye Maisha mazuri , walfare nk mbaya zaidi ninapoishi kwa nyuma kama mita 200 kuna wadada wanajiuza kwa buku moja , wanaonekana hawana Nuru wamechoka Sana
Hapa jirani namuona anamfukuza mke wake na mke anaomba nauli kwa watu ili arudi kijijini.
Ghafla namuona binti wa miaka 17 anatembea na mzee mwenye umri wa Babu yangu .
Hakika ni uchafu mtupu ili nipate Furaha nahiitaji kukaa mbali na hii sayari
Tujitahidi kutoa kwa wahitaji , Muda Mwingine unampa mtu miatano na anaenda kununu fegi daah roho inaumia Sana when I see this fucking life
Je unawezaje Kupata Furaha huku umezingukwa na watu masikini wanaokosa mpaka kula yao ??
Binafsi Mimi Sina Furaha
Furaha ya kweli nikuzungukwa na watu wenye Maisha mazuri , walfare nk mbaya zaidi ninapoishi kwa nyuma kama mita 200 kuna wadada wanajiuza kwa buku moja , wanaonekana hawana Nuru wamechoka Sana
Hapa jirani namuona anamfukuza mke wake na mke anaomba nauli kwa watu ili arudi kijijini.
Ghafla namuona binti wa miaka 17 anatembea na mzee mwenye umri wa Babu yangu .
Hakika ni uchafu mtupu ili nipate Furaha nahiitaji kukaa mbali na hii sayari
Tujitahidi kutoa kwa wahitaji , Muda Mwingine unampa mtu miatano na anaenda kununu fegi daah roho inaumia Sana when I see this fucking life