Hivi unaweza kupiga hela ya maana kwenye haya madubwi ya mtaani?

Hivi unaweza kupiga hela ya maana kwenye haya madubwi ya mtaani?

daxy Jr

Member
Joined
Apr 15, 2020
Posts
88
Reaction score
307
Wadau!

Natumaini jumatatu yetu imeanza vizuri. Leo asubuhi nikiwa njiani kwenda kazini nmekutana na madubwi yasiyopungua 5 njiani. Binafsi sijawahi kabisa kuvutiwa kuyacheza, ila ongezeko la hizi mashine mtaani limenifanya nijiulize sana kuhusu mashine hizi.
 
Mashine inayoweza hifadhi mil 50 ikae nje?, alaf inaitwa Dubwi! Okay ngoja nikwambie kitu, miaka kama mowili nyuma kulikuwa na ka mtindo flani ka cheat kwenye zile mashine, ilikuwa inapigwa torch pale kwa juu alaf mzigo unajichanganya unatema.( sitatoa maelezo zaidi )
 
Mashine inayoweza hifadhi mil 50 ikae nje?, alaf inaitwa Dubwi! Okay ngoja nikwambie kitu, miaka kama mowili nyuma kulikuwa na ka mtindo flani ka cheat kwenye zile mashine, ilikuwa inapigwa torch pale kwa juu alaf mzigo unajichanganya unatema.( sitatoa maelezo zaidi )
duh asee asante kwa kunifungua akili mzee
 
Wadau!

Natumaini jumatatu yetu imeanza vizuri. Leo asubuhi nikiwa njiani kwenda kazini nmekutana na madubwi yasiyopungua 5 njiani. Binafsi sijawahi kabisa kuvutiwa kuyacheza, ila ongezeko la hizi mashine mtaani limenifanya nijiulize sana kuhusu mashine hizi.
Ukiona unaitiwa fursa jua wewe ndio fursa
 
Nilipita siku moja Polini nikakuta dubwi limevunjwa nadhani walitoa hela.

Walishindwa ng'oa kufuli.
Kwani zile hela zinakua mule ndani muda wote? Me nikajua ikifika usiku wanafunga hesabu wanatoa na hela hadi kesho yake
 
Ukiona mashine zinaongezeka maana yake wamiliki wa mashine wanapata faida sana. Ni sawa na kuongeza nyumba ya pili pale unapo ona kipato kimeongezeka. Ukitaka ufaidi hizo fedha na wewe miliki mashine uanze kula hela za wanao dhani dubwi linatema kama wewe.
 
Wadau!

Natumaini jumatatu yetu imeanza vizuri. Leo asubuhi nikiwa njiani kwenda kazini nmekutana na madubwi yasiyopungua 5 njiani. Binafsi sijawahi kabisa kuvutiwa kuyacheza, ila ongezeko la hizi mashine mtaani limenifanya nijiulize sana kuhusu mashine hizi.
mhhh ka makampuni ya kubeti yalivyojaa..njia rahisi ya kupata pesa
 
Ukiona mashine zinaongezeka maana yake wamiliki wa mashine wanapata faida sana. Ni sawa na kuongeza nyumba ya pili pale unapo ona kipato kimeongezeka. Ukitaka ufaidi hizo fedha na wewe miliki mashine uanze kula hela za wanao dhani dubwi linatema kama wewe.
Machine inauzwaje?
 
Mashine inayoweza hifadhi mil 50 ikae nje?, alaf inaitwa Dubwi! Okay ngoja nikwambie kitu, miaka kama mowili nyuma kulikuwa na ka mtindo flani ka cheat kwenye zile mashine, ilikuwa inapigwa torch pale kwa juu alaf mzigo unajichanganya unatema.( sitatoa maelezo zaidi )
Wachache wamekuelewa
 
Sahivi wanacheat kwa laser beam na kuna kuunganisha hela na waya au kamba.

Laser beam (tochi) inaleta short circuit ngoma inamwaga hela.. Kuna utaalamu wake.

Ila hela inakaa. Mule maximum laki 6 au 7 tu kwa ninavofahamu.
 
Back
Top Bottom