Huyu mzee Ana miaka 92 na ana watoto wameajiriwa huko serikalini Ila anauza samaki na kulalia mkeka
This is bullshit.
View attachment 3237690
Ha ha ha Mukululu
Huamini kuna watu wanaeza fanya hizo mambo leo hii ya 22nd century?
Kwanza kabisa nimecheka sana, muzee ya batu analala kwa mukeka, ikanikumbusha usemi ya mzungu "Sleep tight"
Hapo unakuta Muzee kulala chini ni kqamba kajipanga kikamilifu au sio? Labda hio ndio version yake ya Sleep tight๐๐๐๐
If he is comfortable and happy, what is the problem? Mnafikiri huyo mzee hajui the difference ya kulala chini na kulala kwenye godoro? Bulshit how?
Ana miaka 92 na anauza samaki, kuuza samaki ni jambo baya?
Hapana.
Nonetheless, Inawezekana kabisa kuwa muzee anavua, anakula na anauza samaki?
Kama anavua ina maana mzee bado ana nguvu zake na katika tamaduni nyingi duniani ni kitu cha kawaida kuona na kuwaachia wazee kuchapa kazi mpaka mauti. Enda Japan ujionee. Hakuna kulala mtu huko, especially kwa wazee.
Pia, Mzee kama asilimia kubwa ya diet yake ni samaki apewe maua yake. Bora samaki kuliko Pizza au Baga. Samaki na virutubisho vyake vnahusishwa na kuishi kwa binadamu kwa mda mrefu. Mzee ana 92apewe๐น๐น Ukimpeleka huyo muzee kwenye aging center kama zile za Ulaya na Marekani atakufa wiki mbili tu za kufika huko๐
๐
Sasa kama mzee anauza samaki unafikiri ni kwa nn asinunue Godoro mpaka wanae ndio wafanye hivyo?. Kama ana uza tafsiri yake ni kuwa mzee hana tatizo na hela kutoka kwa wanae. Vivyo hivyo na wanae kutokutilia mashaka na maamuzi ya mzee wao ni ishara wana imani na tamaduni zao, ama sio batanzani?
#######
In summary,comparisons zilizofanywa hapa na maudhui ya mada ndizo zenye dosari.
#######
Tumuonee huruma Mzee? Mmeanzisha michango ya kumnunulia godoro? Hapana
Tuwakemee wanae kwa kumtelekeza mzee wao? Je, walimemtelekeza kwa makusudi kabisa? Ama walimuachia Mzee afanye Maamuzi yake na kuyaheshimu?
Binafsi naamini mambo mengi yafanyikayo duniani humu yana baraka zote kutoka kwa Mwenyezi Mungu, ikiwa na pamoja na moral and ethical values za jamii zote. Tuheshimiane tu
#culturalwar