Hivi unaweza ukafall in love na mtu ambaye hujawahi kumwona?


Nemo hivi ukisema hvo,bila nyeti kuna love kweli?
 
cpu wivu tu. Asikutishe wala nini. Tuendelee kudondokeana.
Husninyo duh sasa ukisikia sauti yangu si ndo utamsahau CPU mazima,tupunguze dia tutampa presha atakuja kufa mtoto wa watu
 


Hii kitu ipo ndugu yangu mi niliwai kumpenda mtu na hiali sijawai kumuona ila nilichat naye kwenye simu.
Ila nilivyomuona penzi lote liliisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…