Nawakubali sana hawa jamaa sijui wako wapi aisee
Wanapini inautwa Vumilia, kali sana.
Chorus kasimama ferooz mrishoWanapini inautwa Vumilia, kali sana.
Enzi zetu hizo mzee,¶....Kiila mmoja anapendezaa....tishet na jinsi, hakuna inayomchukizaa tishet na jinsi, sintoweza kuiacha inanitoa chicha nami nawakilishaaa Tishet na jinsi........¶
Kuna ile inaitwa sina nauliEnzi zetu hizo mzee,
Sahiv uzee ushagonga hodi 👵
Haaaaa Haaaaa 😂, Mara paka mate iteleze kama nyoka pangoniKuna ile inaitwa sina nanuli
Nataka kwenda kazini (sina nauli)
Nataka hospitalini (sina nauli)
Sina nauli sina nauli kabisa
Ndiyo maana ndugu tunashindwa kuonana
Long gone are the days when apple and blackberry were fruits.
Sasa hivi ni mwendo wa inama nichomeke, sijui ifinyie kwa ndani...
kuna mmoja tupo nae sinza A hpa amekuwa bishoo tuh