EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Kama una tupicha cha warembo wetu majeshini tupiamo humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kachanganya mambo ni tatizo hilo.Kama una tupicha cha warembo wetu majeshini tupiamo humu
View attachment 1459898
Huyu kivutio Cha watalii ni Askari wanyamaporiKama una tupicha cha warembo wetu majeshini tupiamo humu
View attachment 1459898
Huyo ni wale askari wa wanyamapori, anapendeza asijekuwatisha wanyama wakahama hifadhini.Huyu kachanganya mambo ni tatizo hilo.
Kuvaa heleni na uniform ni kuchanganya uniform za watu.
Kuvaa earphones tu ni kosa sasa huyu kavaa heleni si ndo kaingia cha kike kabisa.
Atakuwa ndiye boss wa eneo lake naona ni SSP, otherwise tusingeona hii picha leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni kivutio cha watalii
Anyway ana cheo gani?Watu au kikundi cha watu ambao ni idara ya serikali wana silaha za moto kwa ajili ya ulinzi na usalama.wa jambo fulani na wako organized kwa style ya kijeshi ni jeshi au sio jeshi, uko dunia gani hujui kwamba askari wa wanyapori wana jeshi Lao lakini ni jeshi usu(paramilitary) au unafikiri askari wa wanyapori hawana mafunzo ya ulinzi na usalama wako mdebwedo kama wewe.Halafu nimetumia neno majeshini sijasema Hutu mrembo ni mwanajeshi,ninaposema majeshini ninamaanisha majeshi yote,inamaana wewe ukisikia jeshi la polisi kwani maana yake polisi ni wanajeshi au? Careem