Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali mengine siyo ya kujibu.Ameshindwa kutumia ubongo?Wapo bara moja la ulaya.
Asante nashukuru kunijuzaWapo bara moja la ulaya.
Swali zuri. Urusi ipo bara la ulaya na pia Urusi ipo bara la Asia .Urusi ni trans-continental country.ipo kote koteNisaidieni wadau sijawa mzuri sana kwenye jiografia ukweli ni kwamba sina majibu juu ya hayo mataifa mawili kwamba yapo bara moja au mabara tofauti?
Wote ni great thinker lakini wakati mwingine tuna jina hilo lakini si wote linasadifu. Kumbuka hiloMaswali mengine siyo ya kujibu.Ameshindwa kutumia ubongo?
Swali zuri. Urusi ipo bara la ulaya na pia Urusi ipo bara la Asia .Urusi ni trans-continental country.ipo kote kote
Mzembe weye!Kuna maswali mtu akiuliza unaona kweli ni sahihi.Lakini swali lako,hapana.Unajivua nguo.Wote ni great thinker lakini wakati mwingine tuna jina hilo lakini si wote linasadifu. Kumbuka hilo
Nisaidieni wadau sijawa mzuri sana kwenye jiografia ukweli ni kwamba sina majibu juu ya hayo mataifa mawili kwamba yapo bara moja au mabara tofauti?
Mzembe weye!Kuna maswali mtu akiuliza unaona kweli ni sahihi.Lakini swali lako,hapana.Unajivua nguo.
Weye ulifikiriaje?Wewe ulitaka avuliwe nguo na asijivuwe?!!
Kuusu bara wapo bara moja na wamepakana kama tulivyo Tz na Rwanda ila swali ni kwamba Puttin anataka nini, yaani chanzo cha mgogoro wao ni nini haswa maana nimejaribu kutafta nimekosa msaada wadau.Nisaidieni wadau sijawa mzuri sana kwenye jiografia ukweli ni kwamba sina majibu juu ya hayo mataifa mawili kwamba yapo bara moja au mabara tofauti?
Mkuu sasa Lengo la jamii forum ni nini? Kwako kama ni rahisi au halina interest na ww si unaliacha unaenda kwenye thread nyingine ambayo utakua interested! Wengine watakuja kumpa majibu anayoyataka!Mzembe weye!Kuna maswali mtu akiuliza unaona kweli ni sahihi.Lakini swali lako,hapana.Unajivua nguo.
Haya muelekeze atakacho.Ila mimi mtu akiniuliza swali la kizembe huwa namdanganya ili akili imkae sawa.Mkuu sasa Lengo la jamii forum ni nini? Kwako kama ni rahisi au halina interest na ww si unaliacha unaenda kwenye thread nyingine ambayo utakua interested! Wengine watakuja kumpa majibu anayoyataka!
Huku hata 1+1 tunajibu ikiwa lengo ni kufahamu /kupata maarifa !
I demand respect to others!
Asante sana kunisaidia nduguMkuu sasa Lengo la jamii forum ni nini? Kwako kama ni rahisi au halina interest na ww si unaliacha unaenda kwenye thread nyingine ambayo utakua interested! Wengine watakuja kumpa majibu anayoyataka!
Huku hata 1+1 tunajibu ikiwa lengo ni kufahamu /kupata maarifa !
I demand respect to others!
Muache huyu ndo anaanza kujifunza mambo taratibu tumshike mkono.Maswali mengine siyo ya kujibu.Ameshindwa kutumia ubongo?
Nisaidieni wadau sijawa mzuri sana kwenye jiografia ukweli ni kwamba sina majibu juu ya hayo mataifa mawili kwamba yapo bara moja au mabara tofauti?