Mtu Kwao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2019
- 394
- 720
Embu fikiria kama viungo vyetu mwilini vingekuwa vinafungwa kwa nati au screw[emoji3]
Sasa siku moja ukaenda kuoga tena ukafungua na machine(kirungu) ili uisafishe vizuri afu mara paah nati inakuponyoka inaingia kwenye sink nakupotelea huko jumla[emoji3][emoji3][emoji3] afu uambiwe kuwa nati hazina spare dah hivi utafanyaje [emoji3][emoji3]
Sasa siku moja ukaenda kuoga tena ukafungua na machine(kirungu) ili uisafishe vizuri afu mara paah nati inakuponyoka inaingia kwenye sink nakupotelea huko jumla[emoji3][emoji3][emoji3] afu uambiwe kuwa nati hazina spare dah hivi utafanyaje [emoji3][emoji3]