Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
JF wasaalam 🙏 🙏
Duniani Kuna mengi yakustaajabisha na mengine mengi ya kufurahisha!
Katika kuzunguka huko kule nikanasa Kwa single mother mmoja mwenye heshima zake na chanzo Cha yeye kuwa single mother ni mimba akiwa Bado yupo kwao ndo kwanza kamaliza form4 tu
Huyu binti alikuwa na nidhamu sana. Na nilimwambia mimi nina mke Kila kitu tukaweka wazi.
Shida yake ukimwambia tu kuwa Leo haupo Kwa bi mkubwa upo safari na utalala loudge.
Kwanza utaulizwa maswali mengi sana ukitaka upuzie sawa lkn mwisho wa mazungumzo uliyoyaanzisha wewe atakuuliza swali langu hujanijibu haya nambie.
Sasa ukifika unapoenda na umwambie upo lodge kwanza utapigiwa simu muda huo mnaongea wee then mnaagana na kutakiana usiku mwema lakini pasipo kutegemea simu itapigwa Tena mida ya saa6-7 Hivi au hata saa9 usiku!
Yaani simu zinakutesa kana kwamba ndo za wife.
Katika ya wote ambao wengine sitaelezea visa vyao. Kuna huyu hapa Ndo kiboko.
Huyu Manzi yeye ana uwezo wake mzuri kiasi ila ana wivu Hadi anakera
Akikupigia simu usipokee kesi. Akituma txt usijibu Kwa wakat kesi
Yeye alienda mbali zaidi na kutaka katika siku zangu7 za mapumziko basi niwe nampa siku3 mchana na usiku yaani sitoki ndani.
Wazee ulikuwa mtihani sana kwangu huu.
Shida kubwa ya huyu mfn ukimwambia unasafiri mfano unatoka kahama unaenda chato ama geita (yeye alikuwa wa mwanza) nayeye anaanza safar kukufukuzia.
Mbaya zaidi hakuambii unafika unaanza kuandaa danga jingine Ili ujipoze na safari mnakubaliana na kuelekea room(loudge)
Mko Zenu mnagonoka huna hili Wala lile mara paap simu inaita.
Unapuzia kuipokea unaendelea kupeleka moto kama kawaida simu inapigwa Tena na tena.
Wasiwasi unakuingia unaenda kuangalia Unakutana na msg upo wapi?mbona hupokei?
Mimi nimefika nipo sehem fln!!
Pokea simu. Oooh kumbe ndo zako? Sawa!!!
Bado una hofu simu inapigwa Tena unaamua utoke Nje Ili ukaongee nae vzr. Unachukulia utani ila maeneo anayotaja unayajua kabisa nayeye ni mgeni hapo ulipo wewe.
Bado mnaongea boda inaitwa mara anapewa boda ongea na huyu umwambie upo wapi anilete!!
Boda anakuuliza wapi hiyo mzee nimlete chap?
Sasa inakubidi ukate simu na kuweka kidenge kwenye simu yako Kwa muda Ili uweke mambo Yako sawa ndo umrudie.
Wazee huyu alikuwa kiboko mara2 zote ananifuma katika Hali hii nikaamua nisiwe na mwambia kabisa.
Pamoja na hayo hakugundua kuwa nilikuwa na manzi mwingine najitetea mpaka basi.
Lakini ukiwa kwako Wala Hana muda wa kukaa anakupigia simu au kukuchatisha otherwise umuanze wewe!!
Sasa unajiuliza Ina maana mke wangu yeye hanipendi na hanionei wivu kama Hii michepuko?
Hiki kisa kimoja wapo nitakimalizia kwenye comment.
Duniani Kuna mengi yakustaajabisha na mengine mengi ya kufurahisha!
Katika kuzunguka huko kule nikanasa Kwa single mother mmoja mwenye heshima zake na chanzo Cha yeye kuwa single mother ni mimba akiwa Bado yupo kwao ndo kwanza kamaliza form4 tu
Huyu binti alikuwa na nidhamu sana. Na nilimwambia mimi nina mke Kila kitu tukaweka wazi.
Shida yake ukimwambia tu kuwa Leo haupo Kwa bi mkubwa upo safari na utalala loudge.
Kwanza utaulizwa maswali mengi sana ukitaka upuzie sawa lkn mwisho wa mazungumzo uliyoyaanzisha wewe atakuuliza swali langu hujanijibu haya nambie.
Sasa ukifika unapoenda na umwambie upo lodge kwanza utapigiwa simu muda huo mnaongea wee then mnaagana na kutakiana usiku mwema lakini pasipo kutegemea simu itapigwa Tena mida ya saa6-7 Hivi au hata saa9 usiku!
Yaani simu zinakutesa kana kwamba ndo za wife.
Katika ya wote ambao wengine sitaelezea visa vyao. Kuna huyu hapa Ndo kiboko.
Huyu Manzi yeye ana uwezo wake mzuri kiasi ila ana wivu Hadi anakera
Akikupigia simu usipokee kesi. Akituma txt usijibu Kwa wakat kesi
Yeye alienda mbali zaidi na kutaka katika siku zangu7 za mapumziko basi niwe nampa siku3 mchana na usiku yaani sitoki ndani.
Wazee ulikuwa mtihani sana kwangu huu.
Shida kubwa ya huyu mfn ukimwambia unasafiri mfano unatoka kahama unaenda chato ama geita (yeye alikuwa wa mwanza) nayeye anaanza safar kukufukuzia.
Mbaya zaidi hakuambii unafika unaanza kuandaa danga jingine Ili ujipoze na safari mnakubaliana na kuelekea room(loudge)
Mko Zenu mnagonoka huna hili Wala lile mara paap simu inaita.
Unapuzia kuipokea unaendelea kupeleka moto kama kawaida simu inapigwa Tena na tena.
Wasiwasi unakuingia unaenda kuangalia Unakutana na msg upo wapi?mbona hupokei?
Mimi nimefika nipo sehem fln!!
Pokea simu. Oooh kumbe ndo zako? Sawa!!!
Bado una hofu simu inapigwa Tena unaamua utoke Nje Ili ukaongee nae vzr. Unachukulia utani ila maeneo anayotaja unayajua kabisa nayeye ni mgeni hapo ulipo wewe.
Bado mnaongea boda inaitwa mara anapewa boda ongea na huyu umwambie upo wapi anilete!!
Boda anakuuliza wapi hiyo mzee nimlete chap?
Sasa inakubidi ukate simu na kuweka kidenge kwenye simu yako Kwa muda Ili uweke mambo Yako sawa ndo umrudie.
Wazee huyu alikuwa kiboko mara2 zote ananifuma katika Hali hii nikaamua nisiwe na mwambia kabisa.
Pamoja na hayo hakugundua kuwa nilikuwa na manzi mwingine najitetea mpaka basi.
Lakini ukiwa kwako Wala Hana muda wa kukaa anakupigia simu au kukuchatisha otherwise umuanze wewe!!
Sasa unajiuliza Ina maana mke wangu yeye hanipendi na hanionei wivu kama Hii michepuko?
Hiki kisa kimoja wapo nitakimalizia kwenye comment.