Hivi usomi ni degree nyingi?????

Hivi usomi ni degree nyingi?????

Tanya

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2013
Posts
340
Reaction score
159
Habari zenu wapendwa wana JF
Mwenzenu natatanika kuhusu usomi, Usomi ni nini???
Bosi wangu ana degree tatu(5) na Masters tano (5) sasa sijui ndo nimuite msomi au nimuiteje maana ni bora angekuwa na PHD aitwe Dr. sasa PHD hasomi yeye anaendelea kusoma masters kasema anataka zifike 10 sasa huyu tumuite limbukeni, muelewa, msomi au nani jamaaniiiiii???????????????
 
Ana'create competitive advantage katika soko la ajira.
Pia, kuwa na ufahamu wa mambo mengi kiundani zaidi.
Lakini mwisho ya yote yeye ndio mwenye kujua malengo aliojiwekea mwenyewe.

Vipi inashangaza eeh???
 
vipi ukimwangalia kaelimika?manake tanzania ndio nchi pekee duniani yenye wasomi ambao hawajaelimika
 
Back
Top Bottom