Pambana, walio stable hawakukata tamaaHabari za muda huu:
Niende kwenye mada kabisa hivi mbona mimi kila siku stress za mizigo. Daah, biashara ni ngumu sana yaani. Mwezi huu nafurahi mwezi ujayo naanza stress yaani, hasa hizi za kuagiza nje cargo zinasumbua.
Msaada anae jua cargo nzuri nishachoka. Biashara za stress yaani, nawaza watu wanafikishaje hata 1b. Mbona mimi na stress hizi? Mbona wachina wamenyooka sana hii cargo ya saba? Nabadilisha yaani mpaka napagawa. Kila mwenye pesa anastress hizi hizi.
Mkuu biashara usiporoga hutoboiHabari za muda huu
Niende kwenye mada kabisa ivi mbona mimi kila sku stress za mizgo Daah biashara ni ngumu sana yaan mwezi huu nafurah mwezi ujayo naanza stress yaan hasa izi za kuagiza nje cargo zinasumbua msaada anae jua cargo nzur nishachoka biashara za stress yaan nawaza watu wanafikishaje hata 1b mbona mm na stress izi mbona wachina wamenyooka sana hii cargo ya saba nabadilisha yaan mpaka napagawa kila mwenye pesa anastress hizi hizi
🤔Mkuu biashara usiporoga hutoboi
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu biashara usiporoga hutoboi
JIPATIE HUDUMA YA LIPA KWA MPESA BURE:
VIGEZO[emoji116]
[emoji117]Sajili namba ya vodacom bila kuiwezesha mpesa.
[emoji117]Uwe na TIN namba
[emoji117]Uwe na kitambulisho cha NIDA
Ukiwa navyo hivyo nitumie via whatsapp 0758381938.
POPOTE ULIPO TZ UTAHUDUMIWA[emoji120]