ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Yaani hii ishu ya mtu kafariki unaletewa daftari nyumbani au mtaani au unatengenezwa mkeka wa michango ya rambirambi ni wa nchini mwetu tu au pia nchi nyingine kufutana machozi kwa njia ya pesa kupo?