Hivi utamaduni wa kupeana rambirambi upo pia katika mataifa mengine?

Maisha yetu ya kiswahili (kiafrika) ni kupendana na kusaidiana katika hali zote iwe misiba au harusi. Mababu walipeleka vyakula vibichi, maji na vitu vingine msibani au harusini kwa lengo la kusaidiana. Leo tunatoa pesa lengo ni hilo hilo kusaidiana. Ila kwa siku hizi imekuwa kerooooo (wizi) sio upendo tena.
 
Rambirammbi ni utaratubi mtamu sana, mtu anakufa AF wew ulie hai unapata kibunda cha Bure kupitia uhai wa MWENZAKO, then unakinyonya mdomdo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…