Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaingia KING au bado? Yaan hela ushampa au ndio upo kwenye provess?Kuna mtu nataka anitumie Cheni pamoja na vito vya dhamani kutoka Marekani na mimi nipo mkoani
je ni utaratibu gani unauweza ukafanya vitu hivyo vikanifikia nilipo?
Yaani taratibu za kutoka airport mpaka mkoani nilipo
Ashatuma hela ya kupokelea mzigo na katumiwa vitu na madolla😂Ushaingia KING au bado? Yaan hela ushampa au ndio upo kwenye provess?
mr pipa rudisha ile avator yako mtoe ringo huyo hatumtaki, km ametuma basi asubilie magoli simu itakua haiptikani tena na meseji hazijibiwiAshatuma hela ya kupokelea mzigo na katumiwa vitu na madolla😂
Kwamba katapeliwa 😢 mm nikaanza mshauri awatumie courier service kama DHL express, au FedExmr pipa rudisha ile avator yako mtoe ringo huyo hatumtaki, km ametuma basi asubilie magoli simu itakua haiptikani tena na meseji hazijibiwi
Usituone wote wajinga, una kaka gani wa kukutumia. Ww fanya kitu kimoja watumie hiyo hela wanayo taka watumie ili akutumie hivyo vitu mkoanKutapeliwa kuna kuwaje mana ni kaka yangu yupo huko
Umeniwahi, lazima mtu apigwe hapo.Anaenda kulizwa mtu
Kaka yako aliye Marekani aanze na kukutumia Vito vya thamani ?Kutapeliwa kuna kuwaje mana ni kaka yangu yupo huko