Sabayi JF-Expert Member Joined Dec 4, 2010 Posts 2,310 Reaction score 999 Apr 19, 2013 #1 Wakuu naomba kujua kama utumbo nao ni red meat.Nimeamua kuacha kula nyama nyekundu kwa muda sasa ila nikikuta utumbo umepikwa kwenye ndizi aaaah huwa nashindwa kujizuia naomba kuelimishwa tafadhali
Wakuu naomba kujua kama utumbo nao ni red meat.Nimeamua kuacha kula nyama nyekundu kwa muda sasa ila nikikuta utumbo umepikwa kwenye ndizi aaaah huwa nashindwa kujizuia naomba kuelimishwa tafadhali
N Norbert92 New Member Joined Apr 17, 2013 Posts 2 Reaction score 1 Apr 19, 2013 #2 Mimi naona kwamba ni tatizo kwa mfano kama unakula utumbo wa ng'ombe bado pia ni hatari,nakushauri punguza kidogo!
Mimi naona kwamba ni tatizo kwa mfano kama unakula utumbo wa ng'ombe bado pia ni hatari,nakushauri punguza kidogo!