Hivi uwanja wa Sokoine ni bado 'machinjio' ya Mbeya City au tayari umeshapangiwa kazi nyingine??

Hivi uwanja wa Sokoine ni bado 'machinjio' ya Mbeya City au tayari umeshapangiwa kazi nyingine??

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
Hivi ile dhana ya kua, Sokoine Stadium ni 'machinjio' ya Mbeya City inafanya kazi hadi msimu huu?!
Hebu tufatilie mechi zake zote alizocheza katika uwanja huo, msimu huu;

10/05/2016 Mbeya City 0 - 2 Yanga Yetu
21/05/2016 Mbeya City 0 - 0 Ndanda
10/09/2016 Mbeya City 1 - 2 Azam
17/09/2016 Mbeya City 0 - 0 Prisons
02/10/2016 Mbeya City 1 - 0 Mwadui
Ukiangalia kwa umakini, utagundua kua.. Mbeya City mbele ya mashabiki wao, uwanja wao... [emoji116] [emoji116]

Kagongwa: Mechi 2
Sare [Suluhu]: Mechi 3
Kashinda: Mechi 1 [hii mechi kwa jinsi ilivyojaa fitina, figisu, rafu za ndani na nje ya uwanja, ilimbidi kocha wa timu pinzani ajiuzuru hapo hapo kufundisha soka nchini Tanzania.]

Hii inatuonesha kua.. Kwa sasa Sokoine Stadium si 'machinjio' tena.. Bali ni ukumbi ambao kila timu inaenda kujichukulia pointi.
'Ukumbi' wenyewe.. [emoji116]

1476084495617.jpg


Mpaka sasa yule Mnyama mkali kabisa mwituni, pengine kuliko wote.. Simba yupo jijini Mbeya kwa ajili ya 'shughuli' moja tu.. kukabidhiwa pointi zake tatu toka Mbeya City.
Hii 'shughuli' ya kukabidhiwa pointi 3 itafanyika mnamo tarehe 12/10/2016 katika 'ukumbi' wa Sokoine... wote mnakaribishwa.
 
Wanatamba sana hawa jamaa lazima tuwashikishe adabu...
Ukichanganyia hasira tulizo nazo za kupokwa ushindi na sanya,. Hawa mbeya city lazima tuwapige nyingi.
 
Hivi uwanja wa Sokoine ni bado 'machinjio' ya Mbeya City au tayari umeshapangiwa kazi nyingine??
Discussion in 'Sports' started by sembo, Oct 10, 2016.

NDIYO KIONGOZI!UMEPNGIWA KAZI NYINGINE,KAMA ULIVYOSIKIA WAJELA WAJELA WAMEKUWA WAAMINIFU SANA.UKISUGULIWA VIZURI UKAPENDA WHY NOT ONCE MORE?
 
Hivi ile dhana ya kua, Sokoine Stadium ni 'machinjio' ya Mbeya City inafanya kazi hadi msimu huu?!
Hebu tufatilie mechi zake zote alizocheza katika uwanja huo, msimu huu;

10/05/2016 Mbeya City 0 - 2 Yanga Yetu
21/05/2016 Mbeya City 0 - 0 Ndanda
10/09/2016 Mbeya City 1 - 2 Azam
17/09/2016 Mbeya City 0 - 0 Prisons
02/10/2016 Mbeya City 1 - 0 Mwadui
Ukiangalia kwa umakini, utagundua kua.. Mbeya City mbele ya mashabiki wao, uwanja wao... [emoji116] [emoji116]

Kagongwa: Mechi 2
Sare [Suluhu]: Mechi 3
Kashinda: Mechi 1 [hii mechi kwa jinsi ilivyojaa fitina, figisu, rafu za ndani na nje ya uwanja, ilimbidi kocha wa timu pinzani ajiuzuru hapo hapo kufundisha soka nchini Tanzania.]

Hii inatuonesha kua.. Kwa sasa Sokoine Stadium si 'machinjio' tena.. Bali ni ukumbi ambao kila timu inaenda kujichukulia pointi.
'Ukumbi' wenyewe.. [emoji116]

View attachment 415399

Mpaka sasa yule Mnyama mkali kabisa mwituni, pengine kuliko wote.. Simba yupo jijini Mbeya kwa ajili ya 'shughuli' moja tu.. kukabidhiwa pointi zake tatu toka Mbeya City.
Hii 'shughuli' ya kukabidhiwa pointi 3 itafanyika mnamo tarehe 12/10/2016 katika 'ukumbi' wa Sokoine... wote mnakaribishwa.
Nacheka sana,kelele nyingi kumbe huna lolote
 
Back
Top Bottom