Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Kila siku jaji anaandika na kuweka mafaili lundo. Sasa nauliza tangu kesi ianze mpama leo bado anakumbuama tu aliandika nini na aliandika wapi?
Je, nani wa kuhakikisha kwamaba manavyovisema vinaandikwa. Kama anavitupilia mbali mtajuaje! Kila siku mnaongea na shahidi anatoa ushahidi je Kama vianaishia pale kizimbani na haandiki chochote au hata akiandika akienda nyumbani anavhana karatsi aliyoandika mtajuaje!!!
Je, nani wa kuhakikisha kwamaba manavyovisema vinaandikwa. Kama anavitupilia mbali mtajuaje! Kila siku mnaongea na shahidi anatoa ushahidi je Kama vianaishia pale kizimbani na haandiki chochote au hata akiandika akienda nyumbani anavhana karatsi aliyoandika mtajuaje!!!