Hivi vazi la chupi kwa mwanamke lina kazi gani?

immasakha

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
489
Reaction score
281
Ukweli leo nimekaa na kufikiria na kujiuliza hivi kwanini wanawake wanavaa chupi na je chupi ina kazi gani kwa mwanamkejibu likanishinda.
Pia nikajiuliza kwa upande wa wanaume hivi kwanini wanaume wanavaa boxer lkn sikua na shaka na jibu nililolipata juu ya mwanaume ni kwamba anazuwia mashine kunyanyuka kila mda au anapokuwepo mbele za watu mashine pindi ikipata mshtuko na kusimama isiwe rahisi kuonekana.
Povu ruksa!
 
Na chupi huzuia mwanamke anapopata mstuko au msisimko basi yale maji walau yabaki uko uko..
 
upo mkoa gani mkuu, unauliza maswali ya kijinga kama haya
 
Inazuia watu wasione dudu

Hahaha umenikumbusha enzi hizo

"Duka La mzungu li wazi lauza Mchele na nazi kitumbua sio andazi"

Lazima ujishtukie tu kama hukuvaa chupi,unaweza rushiwa kajiwe kunako.
 


Bado una akili za kitoto.
 
Kazi ya Chupi Ni kuvuliwa

Oa then uwe unamvua Mwenyewe Mkeo Chupi ndio utajua Umuhimu wa Chupi

Kuna watu hawajui ladha ya Chupi Kwa Kuwa anakutana Na Mkewe wakiwa Kama vile wamekutana kwny Bwawa la kuogelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…