Omuzirambogo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 685
- 751
Nawe ulirushiwaInazuia watu wasione dudu
Hahaha umenikumbusha enzi hizo
"Duka La mzungu li wazi lauza Mchele na nazi kitumbua sio andazi"
Lazima ujishtukie tu kama hukuvaa chupi,unaweza rushiwa kajiwe kunako.
Kila Siku nasema msihusishe bangi na vitu vyakipumbavu ,sasa ntaanza kuwachapa viboko mnaoihusisha na ujinga kama huu,unajua wakati mwingi bange unatatakiwa uvute ukiwa umekula nasiyo kwenda kuvutia chooni ukitoka huko lazim utakuwa na mawazio kama hayo tu
da kaka inaonekana unavuta bange wewe mbona unaitetea kama nzuriKila Siku nasema msihusishe bangi na vitu vyakipumbavu ,sasa ntaanza kuwachapa viboko mnaoihusisha na ujinga kama huu,
Ndiyo natumia mkuu na sijawahi Fanya vitu vya hali ya chini, vipi we unatumia,ushawahi tumia ukafanya upuuzi kama huo?? Au upuuzi was aina yeyote ile??.da kaka inaonekana unavuta bange wewe mbona unaitetea kama nzuri
Ingewezekana wangekuwa hawafungi kabisa vyuo/shule!Chuo bado hakijafunguliwa?
Mkuu una akili sana asee, kwangu mm mwanamke tukifika akitaka kujivua huwa namkatza yaani hata akiwa mzuri vipi akianza kujivua tu nahisi nimedhulumiwa utamu wote wa tendo linalofuata.Kazi ya Chupi Ni kuvuliwa
Oa then uwe unamvua Mwenyewe Mkeo Chupi ndio utajua Umuhimu wa Chupi
Kuna watu hawajui ladha ya Chupi Kwa Kuwa anakutana Na Mkewe wakiwa Kama vile wamekutana kwny Bwawa la kuogelea