Hivi VEO na WEO wana mamlaka ya kutoza faini kwa makosa madogo madogo?

Yohana Kilimba

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
8,105
Reaction score
5,629
Nimeliona jambo hili uku wilaya ya Iramba- Singida.

Hivi hawa walinzi wa amani wanaongozwa na sheria hipi kutoza faini hizo? na kama hipo kikomo chake ni shilingi ngapi?

Mfano kuna mtu kakamatwa ugoni kalipishwa laki 6.

Na mwingine alipigana na mwenzie walipopelekwa ofisi za Kata, kila mmoja kalipishwa laki nne nne, ili kulimaliza jambo chini chini badala ya kupeleka kesi Wilayani Kiomboi.

Is this fair?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…