Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,208
- 14,143
Mwamba umetoka mahabusu๐๐๐๐๐Viatu vya ma MC hivyo
Nimetoka parole wahuni tunaendelea kudumuMwamba umetoka mahabusu๐๐๐๐๐
Ukiwa huna pesa hata taulo utauliza lina kazi gani...? Wee tafuta pesa kilakitu kinavaliwa na kutumika
๐คฃ๐คฃ๐คฃViatu vya ma MC hivyo
We jamaa umerudi lini. Hivi unajua una e-gundu (electronic gundu) yani ukikosea tu unakula ban๐Nimetoka parole wahuni tunaendelea kudumu
Ni wivu tu, ban yenyewe mbayaaa๐๐๐ et una ban kwa kudhalilisha wanawake! Hamna tusi ni jiwe gizani tu mods ka catch feelings na muunWe jamaa umerudi lini. Hivi unajua una e-gundu (electronic gundu) yani ukikosea tu unakula ban๐
Mahabusu ipi mkuu?Mwamba umetoka mahabusu๐๐๐๐๐
Alikula banMahabusu ipi mkuu?
๐๐ bora ungekaa kimya mdogo wangu, hivyo viatu wamevaa matajiri ndio maana unaona vime trend sana, nakupa assignment tafuta picha ya mkutano EA-Business Platform uliofanyika Paris mwezi February mwaka huu... Wewe sema huvipendi ila ukiwa na pesa utanunua kitu chochote ambacho wewe unaona kina faida ila mwingine akikuona nacho ataona hakina maana... Me mwenyew sivipendi hivyo viatu ila najua uzur wa kitu unatokana na macho na uwezo (pesa).Kwani nimekwambia sina pesa?
Sijawahi ona tajiri amevaa hicho kiatu.
Akina gara bViatu vya ma MC hivyo