Hivi vidonge vinatibu ugonjwa gani?

Hivi vidonge vinatibu ugonjwa gani?

Mbona vipo kama vile vidonge flani vitam tamu
 
Mpaka usome jina lake ambalo limeandikwa juu yake.Ziko dawa chungu nzima zenye muonekano kama huo e.g. brufen, erythromycin, multivitamins nk.Bora usome jina lake ndo utaambiwa inatibu nini, vinginevyo hakuna hata mmoja atakaekupa jibu.
 
So kweli kuwa za kutoa mimba au ARV , HAPANA yaelekea kuwa in dawa za maumivub aina ya BRUFEN dawa hii yaweza kutumika kutuliza maaumivu ikiwamo Yale ayapatayo msichana /mwanamke wakati Wa hedhi . Au zitakuwani dawa za kuongeza madini ya chuma ilikwa anahitajika kuinua kiwango cha damu
Asante
 
Utambuzi wa vidonge si kwa kuangalia kwa macho bali utambuzi wa vidonge ni kwa jina la mahali vilikowekwa kama ni kwenye kopo basi jina lililoandikwa juu ya kopo kama ni blister basi jina la lililoandikwa juu ya hiyo blister
 
Dawa kama haijakuwa label kwa jina na haijajulikana inatumikaje basi si sahihi kwa matumizi, dawa inapaswa apewe au iandikwe kwa mgonjwa au mteja anayepeswa( right patient) , dozi inayopaswa( right dose), muda sahihi( right time) na dawa sahihi( right medication/drug) pia iwe kwa matumizi yaliyosahii, dawa pia isiwe ime expire. Kinyume na hizo sifa haifai kwa matumizi pia hiyo dawa haikuhusu otherwise unaweza ukaenda pharmacy kuwauliza aina ya hiyo dawa ila wanaweza wakakukatalia kukuelekeza kwa sababu ya ethics na privacy issues wakijua wewe ni mdukuzi unataka kujua matumizi ya dawa fulani ili ujue mtu anaumwa nini( kuzuia unyanyapaa). Mengineyo wajuzi wataongeza
 
Naomba kujuzwa hivi vidonge vinatibu ugonjwa gani maana nimekuta katika begi la mdogo wangu na hajaniambia kama anaumws na yeye bado ni mwanafunzi wa secondary.
Natanguliza shukrani
85694f83f009723f6fcd7c0665f8ca7f.jpg
Madhara ya kupekenyua yasiyokuhusu.

Mtoto wakike ingependeza apekenyuliwe na mama,dada yake ama pengine wifi yake sio wewe kaka.
Tena ambae ni under 18 zaidi ya hapo ni kuingilia usiyostahili na yatakukuta ya aibu zaidi ukiendelea na tabia hiyo.
 
Naomba kujuzwa hivi vidonge vinatibu ugonjwa gani maana nimekuta katika begi la mdogo wangu na hajaniambia kama anaumws na yeye bado ni mwanafunzi wa secondary.
Natanguliza shukrani
85694f83f009723f6fcd7c0665f8ca7f.jpg
N bora ungezipiga nyuma tukajua jina la dawa, zlizonying znafanana rangi na umbo. Hafu pia ungemuuliza anaumwa nn kuliko kumdukua na huku ungekuja kuthbitisha kama taarifa zake n kweli.
 
Taja jina la dawa,vinginevyo itakuwa ngumu kutambua
 
We begi la kike unafuata nini jaman...SA kwa ufupi tunatembea na dawa za panadol hapa pain killer yeyote,ya kichwa, ya tumbo kipindi cha period,allergy,za kuzuia kuharisha,antibiotic...hope nimewasaidia wapekuzi wote
 
Naomba kujuzwa hivi vidonge vinatibu ugonjwa gani maana nimekuta katika begi la mdogo wangu na hajaniambia kama anaumws na yeye bado ni mwanafunzi wa secondary.
Natanguliza shukrani
85694f83f009723f6fcd7c0665f8ca7f.jpg
Dawa ya minyoo hiyo ile ya zamani
 
Back
Top Bottom