Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Nimewiwaaa kuuliza hili
Hivi majuzi nilinunua gb 1.4, Ghafla nikashangaaa siku mbili siwezi fungua website wala chat na WHATSUP
Nikasema isiwe taabu nikavuta niwezeshe, nikachungulia asubuhi nikawa na MB kadhaa. Asubuhi nikasema nikimonite naona na mb 765 mpaka tar 11 jun na mbs 650 mpaka tar 9 Nov.
Hivi sasaa naangalia data nakuta cha 765 mpaka 500 cha 650 kumekuwa 470
Kwa wale watu wa ofisi za simu swali kama mbs 650 zinaisha kesho tar 9 kwanini upunguze za tar 11jun na tar 9 Jun zote pamoja.
Why wasiondoee hizo za 650 nijue kesho nabaki na zile 765
Ajabu kila mdaa naangalia wanakata kotee kuwili aisee nimejutaa
Hatari
Hivi majuzi nilinunua gb 1.4, Ghafla nikashangaaa siku mbili siwezi fungua website wala chat na WHATSUP
Nikasema isiwe taabu nikavuta niwezeshe, nikachungulia asubuhi nikawa na MB kadhaa. Asubuhi nikasema nikimonite naona na mb 765 mpaka tar 11 jun na mbs 650 mpaka tar 9 Nov.
Hivi sasaa naangalia data nakuta cha 765 mpaka 500 cha 650 kumekuwa 470
Kwa wale watu wa ofisi za simu swali kama mbs 650 zinaisha kesho tar 9 kwanini upunguze za tar 11jun na tar 9 Jun zote pamoja.
Why wasiondoee hizo za 650 nijue kesho nabaki na zile 765
Ajabu kila mdaa naangalia wanakata kotee kuwili aisee nimejutaa
Hatari