talentbrain
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,187
- 760
Pamoja na mabadiliko mbalimbali yanayofanywa na tcu kila mwaka ili kuboresha. Nashindwa kuelewa kuwa hivi sasa vigezo vya uwezo wa kifedha, uyatima na ulemavu havifuatwi tena? Facult zinapotumiwa kama vigezo inamaanisha yatima, mlemavu na masikini ambaye ameomba kusoma sheria hapewi kisa facult.
Je, vp kuhusu waliohitim kidato cha sita 2009 na kabla? Hv bodi imeamua kubagua?
Je, bodi ipo kwa manufaa ya nani?
huu uandishi hatuutaki huku Jfjamanjccc33bbbBBBB
labda kazoea facebookhuu uandishi hatuutaki huku Jf