Hivi vijana hatuna mambo ya msingi ya kufanya??

Hivi vijana hatuna mambo ya msingi ya kufanya??

Mahondaw

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
67,252
Reaction score
168,563
Jamani,
Hivi sikuhiz kuwa na simu kuubwa ndo fasheni? Make vijana ofisini kwetu naona kama hawana cha kufikiria zaidi ya kushindana kununua simu mpya kubwa kubwa mara kwa mara.
Mwingine alinishangaza sana huyoo mkuku mkuku kanifata bila aibu eti khaa nawewe hujanunua simu mpya tu?? Unako kalekale kasimu Kako ka zamani?? Karibia wote sasa Wana simu mpya wewe tu khaa nawewe!!!![emoji32] ( ananishangaa) Nikamwambia ndugu, Usawa wenyewe huu wa kukaa unawaza simu tu simu tu masaa yote?? Wacha anichachafye acha ushamba wewe ebu nenda na wakati Nikamwambia Wee tangulia nenda tu nahuo wakati niache na ushamba wangu......Nikamuangaliaaaaaaa nakutikisa kichwa tu nikajisemea moyoni mtu kama huyu mfano ndo mume wangu tutakula simu Kila siku make hana mawazo ya msingi kabisa hata maisha yake yenyewe yanasikitisha though ana kama miaka 37 saivi na keshafanya Kazi kibao cha maana alichonacho ni mapupu yake tu.
Ndo nauliza mwenzenu mtu mwenye simu kubwa anaonekanaje kwani ??? Na mwenye kadogo kama kangu mie je??? Kwahiyo mwenye simu ndogo ni mshamba ?
Vijana wakati ndio huu hakuna kesho maisha ni Leo tusileweshwe na vitu vya kupita hivi. Na usimjaji mtu kwa kumuangalia tu huwezi jua.

Nawasilisha
 
Jamani,
Hivi sikuhiz kuwa na simu kuubwa ndo fasheni? Make vijana ofisini kwetu naona kama hawana cha kufikiria zaidi ya kushindana kununua simu mpya kubwa kubwa mara kwa mara.
Mwingine alinishangaza sana huyoo mkuku mkuku kanifata bila aibu eti khaa nawewe hujanunua simu mpya tu?? Unako kalekale kasimu Kako ka zamani?? Karibia wote sasa Wana simu mpya wewe tu khaa nawewe!!!![emoji32] ( ananishangaa) Nikamwambia ndugu, Usawa wenyewe huu wa kukaa unawaza simu tu simu tu masaa yote?? Wacha anichachafye acha ushamba wewe ebu nenda na wakati Nikamwambia Wee tangulia nenda tu nahuo wakati niache na ushamba wangu......Nikamuangaliaaaaaaa nakutikisa kichwa tu nikajisemea moyoni mtu kama huyu mfano ndo mume wangu tutakula simu Kila siku make hana mawazo ya msingi kabisa hata maisha yake yenyewe yanasikitisha though ana kama miaka 37 saivi na keshafanya Kazi kibao cha maana alichonacho ni mapupu yake tu.
Ndo nauliza mwenzenu mtu mwenye simu kubwa anaonekanaje kwani ??? Na mwenye kadogo kama kangu mie je??? Kwahiyo mwenye simu ndogo ni mshamba ?
Vijana wakati ndio huu hakuna kesho maisha ni Leo tusileweshwe na vitu vya kupita hivi. Na usimjaji mtu kwa kumuangalia tu huwezi jua.

Nawasilisha
KAMA KWELI WE NI KUIJANA NIMEKUKUBALI ....
 
Wanajazana upupu tu. Halafu watu walivyowanafki.. Ukute wanamchota akili tu wakat wenzake wana source nyingine za income wanafanya maendeleo chini kwa chini hawamshirikishi. Na unafiki huu unafanywa na vijana wengi sn. Usipotumia akili zako haohao siku moja watakuzodoa kubwa zima huna maendeleo.
 
Jamani,
Hivi sikuhiz kuwa na simu kuubwa ndo fasheni? Make vijana ofisini kwetu naona kama hawana cha kufikiria zaidi ya kushindana kununua simu mpya kubwa kubwa mara kwa mara.
Mwingine alinishangaza sana huyoo mkuku mkuku kanifata bila aibu eti khaa nawewe hujanunua simu mpya tu?? Unako kalekale kasimu Kako ka zamani?? Karibia wote sasa Wana simu mpya wewe tu khaa nawewe!!!![emoji32] ( ananishangaa) Nikamwambia ndugu, Usawa wenyewe huu wa kukaa unawaza simu tu simu tu masaa yote?? Wacha anichachafye acha ushamba wewe ebu nenda na wakati Nikamwambia Wee tangulia nenda tu nahuo wakati niache na ushamba wangu......Nikamuangaliaaaaaaa nakutikisa kichwa tu nikajisemea moyoni mtu kama huyu mfano ndo mume wangu tutakula simu Kila siku make hana mawazo ya msingi kabisa hata maisha yake yenyewe yanasikitisha though ana kama miaka 37 saivi na keshafanya Kazi kibao cha maana alichonacho ni mapupu yake tu.
Ndo nauliza mwenzenu mtu mwenye simu kubwa anaonekanaje kwani ??? Na mwenye kadogo kama kangu mie je??? Kwahiyo mwenye simu ndogo ni mshamba ?
Vijana wakati ndio huu hakuna kesho maisha ni Leo tusileweshwe na vitu vya kupita hivi. Na usimjaji mtu kwa kumuangalia tu huwezi jua.

Nawasilisha
Amejenga huyo?
 
Muda mwingine ukifat watu wanavyofanya unaweza ukajikuta unapotea.Utakuta mtu kisa kaona fulani ana simu kali na yeye atataka anunue ili naye aonekane maskini kumbe mwenzie ukute tayari anamaendeleo keshawekeza sehemu mbalimbali ye hajui anadhani sifa.
Muda mwingine ni bora kuonekana mshamba lakini unajijenga huko mbele lazima uonekane wa maana mana unachakujivunia
 
Sas mbna unanisema mm ndug yangu

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Simu na nguo za kisasa zinamalizia pesa wengi,mfano mzuri ni humu JF yaan mtu mwenye tecno anaonekana maskini saana kuliko aina nyingine za simu.

Bora nibaki na kawereva kangu huku pesa ndefu nafanyia mambo ya maana.
 
Simu na nguo za kisasa zinamalizia pesa wengi,mfano mzuri ni humu JF yaan mtu mwenye tecno anaonekana maskini saana kuliko aina nyingine za simu.

Bora nibaki na kawereva kangu huku pesa ndefu nafanyia mambo ya maana.
Halafu hatujuani humu...unaweza kukuta kibarua mwenye Samsung anamcheka boss wake mwenye Techno.
 
Inasikitisha!
Mtu kuishi kwa kufuata mkumbo badala ya kushughulika na malengo yake.

Steve Jobs - Giant Of Technology.
 
Kwenye maisha wote tunatafuta furaha ya nafsi zetu kwanza! Kwahiyo kama mtu anaona akinunua simu kubwa anakua na furaha aendelee kununua,mtu akiona kujenga nyumba kunampa furaha aendelee kujenga! ...

Kwahiyo mwenye simu ndogo au kubwa haina shida ili mradi tu awe na furaha ya maisha yake.

Tatizo kubwa watu hawajui wanataka nini na lengo lao ni lipi kwa kipindi ambacho wako duniani.
Kuna mtu atataka kujenga kwasababu ameona rafiki yake kajenga,kuna mtu anataka kuoa kwasababu rafiki yake kaoa,yaani yeye hana mpango kazi wa maisha yake.

Happiness matter!
 
Back
Top Bottom