Hivi vikundi vinavyoanzishwa ndani ya CCM vinakwenda kuleta mgawanyiko ingawa mama anavifurahia

Hivi vikundi vinavyoanzishwa ndani ya CCM vinakwenda kuleta mgawanyiko ingawa mama anavifurahia

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,409
Reaction score
13,262
Kumezuka mtindo sasa hivi ndani ya CCM vya watu kuanzisha vikundi vinavyojifungamanisha na mama na kujidai vinampigania. Yeye mwenyewe anasikia rahaaaa akijijua anapendwa na kutetewa kumbe lengo la vikundi hivi ni kutibu njaa zao na kutafuta ipendeleo wa madaraka na kuwatenga wengine. Sasa hivi kuna wanaoniita Chawa wa mama na wengine Kenge wa mama.

Kwa nayejua jua siasa vizuri ilipaswa vikundi hivi kukemewa na kuzuiwa kama aliyekuwa katibu mkuu alivyozuia kakukundi fulani ka walimu walaiojifanya kuunda eti jukwaa la walimu wazalendo wakati ule wa Magufuli.

Mama hajui migawanyiko na chuki ndani ya chama na serikali husababishwa na vikundi kama hivi badala yake anavishabikia. Wanaomshauri mama wanapaswa kumwambia anaukata mti alioikalia. Hivyo ni binundi vya wasaka madaraka na upendeleo havina tija yoyote kwa chama wala serikali. Muda ni mwalim mzuri utaongea
 
Kumezuka mtindo sasa hivi ndani ya CCM vya watu kuanzisha vikundi vinavyojifungamanisha na mama na kujidai vinampigania. Yeye mwenyewe anasikia rahaaaa akijijua anapendwa na kutetewa kumbe lengo la vikundi hivi ni kutibu njaa zao na kutafuta ipendeleo wa madaraka na kuwatenga wengine. Sasa hivi kuna wanaoniita Chawa wa mama na wengine Kenge wa mama.

Kwa nayejua jua siasa vizuri ilipaswa vikundi hivi kukemewa na kuzuiwa kama aliyekuwa katibu mkuu alivyozuia kakukundi fulani ka walimu walaiojifanya kuunda eti jukwaa la walimu wazalendo wakati ule wa Magufuli.

Mama hajui migawanyiko na chuki ndani ya chama na serikali husababishwa na vikundi kama hivi badala yake anavishabikia. Wanaomshauri mama wanapaswa kumwambia anaukata mti alioikalia. Hivyo ni binundi vya wasaka madaraka na upendeleo havina tija yoyote kwa chama wala serikali. Muda ni mwalim mzuri utaongea

Mama pia anaakili! Anajua anachofanya tuliza munkari kidogo
 
Kumezuka mtindo sasa hivi ndani ya CCM vya watu kuanzisha vikundi vinavyojifungamanisha na mama na kujidai vinampigania. Yeye mwenyewe anasikia rahaaaa akijijua anapendwa na kutetewa kumbe lengo la vikundi hivi ni kutibu njaa zao na kutafuta ipendeleo wa madaraka na kuwatenga wengine. Sasa hivi kuna wanaoniita Chawa wa mama na wengine Kenge wa mama.

Kwa nayejua jua siasa vizuri ilipaswa vikundi hivi kukemewa na kuzuiwa kama aliyekuwa katibu mkuu alivyozuia kakukundi fulani ka walimu walaiojifanya kuunda eti jukwaa la walimu wazalendo wakati ule wa Magufuli.

Mama hajui migawanyiko na chuki ndani ya chama na serikali husababishwa na vikundi kama hivi badala yake anavishabikia. Wanaomshauri mama wanapaswa kumwambia anaukata mti alioikalia. Hivyo ni binundi vya wasaka madaraka na upendeleo havina tija yoyote kwa chama wala serikali. Muda ni mwalim mzuri utaongea
Kundi moja litakapoona halithaminiwi kama lingine, mambo ya mgawanyiko yataanzia hapo..!!
 
Vikundi ndani ya ccm viko vingi nakna vingine mama havipendi. Mfano sukuma gang mama hawapendi Sana.

Mama anashabikia vikundi 2 tu:-
..anaupinga mwingi group
..chawa mama gangsters
..
 
Kumezuka mtindo sasa hivi ndani ya CCM vya watu kuanzisha vikundi vinavyojifungamanisha na mama na kujidai vinampigania. Yeye mwenyewe anasikia rahaaaa akijijua anapendwa na kutetewa kumbe lengo la vikundi hivi ni kutibu njaa zao na kutafuta ipendeleo wa madaraka na kuwatenga wengine. Sasa hivi kuna wanaoniita Chawa wa mama na wengine Kenge wa mama.

Kwa nayejua jua siasa vizuri ilipaswa vikundi hivi kukemewa na kuzuiwa kama aliyekuwa katibu mkuu alivyozuia kakukundi fulani ka walimu walaiojifanya kuunda eti jukwaa la walimu wazalendo wakati ule wa Magufuli.

Mama hajui migawanyiko na chuki ndani ya chama na serikali husababishwa na vikundi kama hivi badala yake anavishabikia. Wanaomshauri mama wanapaswa kumwambia anaukata mti alioikalia. Hivyo ni binundi vya wasaka madaraka na upendeleo havina tija yoyote kwa chama wala serikali. Muda ni mwalim mzuri utaongea
Huyo mama hana akili ni zuzu ...uwezo wake wa kuona mbali ni mdogo sana
 
Huyo mama hana akili ni zuzu ...uwezo wake wa kuona mbali ni mdogo sana
Mkija kushtuka ndio mtajua akili yake iko wapi. Anaweza asiwe perfect lakini ana maono yake. Tusubiri.
 
Eee! Kumbe kuna kenge had wa mama?

Mm naanzisha changu kitaitwa NGUCHIRO WA MAMA
 
Kumezuka mtindo sasa hivi ndani ya CCM vya watu kuanzisha vikundi vinavyojifungamanisha na mama na kujidai vinampigania. Yeye mwenyewe anasikia rahaaaa akijijua anapendwa na kutetewa kumbe lengo la vikundi hivi ni kutibu njaa zao na kutafuta ipendeleo wa madaraka na kuwatenga wengine. Sasa hivi kuna wanaoniita Chawa wa mama na wengine Kenge wa mama.

Kwa nayejua jua siasa vizuri ilipaswa vikundi hivi kukemewa na kuzuiwa kama aliyekuwa katibu mkuu alivyozuia kakukundi fulani ka walimu walaiojifanya kuunda eti jukwaa la walimu wazalendo wakati ule wa Magufuli.

Mama hajui migawanyiko na chuki ndani ya chama na serikali husababishwa na vikundi kama hivi badala yake anavishabikia. Wanaomshauri mama wanapaswa kumwambia anaukata mti alioikalia. Hivyo ni binundi vya wasaka madaraka na upendeleo havina tija yoyote kwa chama wala serikali. Muda ni mwalim mzuri utaongea
Aisee wewe utakuwa mchawi. Inakuuma nini mwenzako akisifiwa? Rais Dkt Samia anafanya kazi nzuri
 
Mkija kushtuka ndio mtajua akili yake iko wapi. Anaweza asiwe perfect lakini ana maono yake. Tusubiri.
Calculations zote za Maza ni 2025 ..... Hiyo ndiyo inwapa tabu wengi ndani na nje ya chama.
 
Back
Top Bottom