Hivi vipele dawa siijui msaada wenu!

Hivi vipele dawa siijui msaada wenu!

cosmasmpwage

Member
Joined
Feb 4, 2013
Posts
30
Reaction score
2
kuna mdogo wangu alitoka shuleni (mwanafunzi wa bweni), tulikuwa tunalala kitanda kimoja, alikuja na ugonjwa wa vipele vidogo2, aliniambukiza na mie, lakini yeye vikapona, ishu kwangu sasa yaani vinawasha afu ukikuna vinatoa majimaji maangavu,yale maji ukiyasambaza sehemu nyingine basi na hapo vitatokea tena, yaani nimejaribu kutumia sabuni za rungu au sabuni gani lakin wapi, vipele hivyo tokea mwezi wa nne up to day
 
kuna mdogo wangu alitoka shuleni (mwanafunzi wa bweni), tulikuwa tunalala kitanda kimoja, alikuja na ugonjwa wa vipele vidogo2, aliniambukiza na mie, lakini yeye vikapona, ishu kwangu sasa yaani vinawasha afu ukikuna vinatoa majimaji maangavu,yale maji ukiyasambaza sehemu nyingine basi na hapo vitatokea tena, yaani nimejaribu kutumia sabuni za rungu au sabuni gani lakin wapi, vipele hivyo tokea mwezi wa nne up to day

Ok, mdogo wako ametumia njia gani mpaka vikapona?
 
mdogo wangu vilipona bila kutumia dawa, sasa mim vinanishangaza mpaka leo kutoka mwezi wa nne!
 
kuna mdogo wangu alitoka shuleni (mwanafunzi wa bweni), tulikuwa tunalala kitanda kimoja, alikuja na ugonjwa wa vipele vidogo2, aliniambukiza na mie, lakini yeye vikapona, ishu kwangu sasa yaani vinawasha afu ukikuna vinatoa majimaji maangavu,yale maji ukiyasambaza sehemu nyingine basi na hapo vitatokea tena, yaani nimejaribu kutumia sabuni za rungu au sabuni gani lakin wapi, vipele hivyo tokea mwezi wa nne up to day

Jaribu kupaka vitunguu swaumu, vitakauka. Pia kila siku meza tembe 3 za vitunguu swaumu. Pitia: Mafanikio Na Afya Njema: Jinsi Ya Kuondoa Chunusi Usoni: Home Remedies for Acne na hapa: Mafanikio Na Afya Njema: Je, Una Makovu Ya Chunusi? - Home Remedies for Acne Scars
 
Back
Top Bottom