Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
Habari zenu wakuu.
Natumai mnaendelea vyema kabisa. Well, swali langu ni kutaka kufahamu mtu anapoenda kupima Virusi vya UKIMWI, huwa vinaonesha Idadi ya wadudu waliopo ndani ya mwili wakuu?
Na je, Idadi hiyo ikiwa kiasi gani ndio huwa na madhara zaidi kwa mwili na katika kupungua Idadi ya vijidudu hivyo huwa inaweza kupungua mpaka kufikia ngapi?
Natanguliza shukran. Thanks.
Natumai mnaendelea vyema kabisa. Well, swali langu ni kutaka kufahamu mtu anapoenda kupima Virusi vya UKIMWI, huwa vinaonesha Idadi ya wadudu waliopo ndani ya mwili wakuu?
Na je, Idadi hiyo ikiwa kiasi gani ndio huwa na madhara zaidi kwa mwili na katika kupungua Idadi ya vijidudu hivyo huwa inaweza kupungua mpaka kufikia ngapi?
Natanguliza shukran. Thanks.